Phoenix
JF-Expert Member
- Sep 6, 2012
- 10,592
- 15,484
Oh no, Mi baada ya kuona uwanja umechafuka na kunuka damu nikaacha busara zangu kwa geniveros na Ms.Lincoln yule sis mwingine (nimemsahau jina) nikaona ndo kachafukwa balaa ndimu haifanyi kazi..!! kucheck kwako nkaona kimya nikajua umeelewa hivyo sikukushitua... maweee kumbe wenyewe washakukimbiza Segerea..!! Narudi siku ya pili na ya tatu nauta kimyaaa.. nikawanajitokea hivi kinyoooonge....
Ooh kumbe nifah yuko macca? duh halafu nasikia wao huwa hawaombei, ningeomba aniombee na mimi..!! Angalia momiee nawe usijeenda kule.. hali itakuwa mbaya hapa..!! Miss u too wane..!!
BACK TANGANYIKA
Ha ha ha!
Tupogo na roho za paka hapa.
Roho ngumu kama mwamba wa chuma.
Last edited by a moderator: