Jamani kuna watu wanonkho sijapata ona.
Eti tumegeuza uzi group la whatsup....
Kweli watu wanatuonea wivu sana yaan adi wana tetaa na bado najua mnapita apa kwa taarifa yenu apa ni nyumbani.
Jamani kuna watu wanonkho sijapata ona.
Eti tumegeuza uzi group la whatsup....
Kweli watu wanatuonea wivu sana yaan adi wana tetaa na bado najua mnapita apa kwa taarifa yenu apa ni nyumbani.
Hayo maneno ya mkosaji tu tushayazoea kabisa. Na wao wageuze Uzi wao uwe ka whatsap.
Usokorokwinyokolo unawasumbua hao kuhangaika na yasiyo waweza.
Huyo mbulula naye alijiona kaandika point eti anatukomesha haters wa domo kumbe mpuuzi tu ka wapuuzi wengine.
Hahaaaa Avemaria nishaanza mbona dia education is sex. Zoom siendi hata kwa dawa chuo za wamama wa nyumbani,na waliopata division five na beki three.
Bora hata cha Magogoni mweeeh.
Heheh kwani mashabiki wa Kiba mnasomaga nyie? Teh! Teh! Ngoja mie niende zoom mama nikapate walau kacheti!
Like seriously....watu wanatuona humu tunafanya yetu wanadhani tupo empty vichwani eeeh pole yao. Tena pole yao haswaaa
Nimeamini wasipopita humu lazima waumwe, yaani kila tufanyalo linawauma jamani!!! Mbona kazi wanazo, na watakufa macho wazi
Hii ilikuwa tarehe 30/08/2013
Kiba ni balaa jana kwenye daladala alikua anazunguka jijini alijisifu yeye ni mkali sana na kumlinganisha na diamond ni kumdhalilisha labda diamond ni level ya mwanafunzi wake abdu kiba, na akasema akiamua kuimba style za ki nigeria kama diamond atatikisa dunia nzima bali anadhamini mziki wa kitanzania.
Naona mnatamani ingekuwa kweli, lakini KingKiba hana muda kwa sasa labda mmuweke booking huenda mkafikiriwa mkutane hata na abdu kiba sababu king yupo bize na collabo na wikzd.
Ndege wa rangi moja wanapokutana manager wa wizkid na manager wa diamond wakicheza ngololo hahahahaha hatari sana huyu ndio salaam bwana.... Kituuuuu kimeshapikwa hapo #kudadeki
Hivi ni kweli amefukuzwa nyumba aliyopanga na sasa karudi kariakoo kwa mama yake?
Ha ha ha kweli king yupo kwao, Mariana kamtimua kwenye nyumba yake
Ndege wa rangi moja wanapokutana manager wa wizkid na manager wa diamond wakicheza ngololo hahahahaha hatari sana huyu ndio salaam bwana.... Kituuuuu kimeshapikwa hapo #kudadeki
Kiba ni balaa jana kwenye daladala alikua anazunguka jijini alijisifu yeye ni mkali sana na kumlinganisha na diamond ni kumdhalilisha labda diamond ni level ya mwanafunzi wake abdu kiba, na akasema akiamua kuimba style za ki nigeria kama diamond atatikisa dunia nzima bali anadhamini mziki wa kitanzania.
Но знаешь да что я люблю тебя!