Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Times FM wametoa namba ya kumchangia king Kiba wameweka kwenye website yao,ntaiweka mda is mrefu,tumpe sapoti king wetu angalau apate sehemu ya kujihifadhi mda huu,kutoa ni moyo wakuu chochote kile Mungu atawabariki.
 
Acha uongo kijana tuzo za channel O hazita kuwepo tena, ilipoingia mwaka 2015 channel O ilibadilishwa na kuwa local tv station ya south africa baada miaka mingi kuwa miaka mingi kuwa international tv station, tuzo cha channel mwaka jana ndo ilikuwa mwisho kutoka

Hahaha bora umemwambia mkuu mana watu wengine wanachekesha sana. Kakurupuka huko kaja kuwatia moyo wenzake hahah hiv hata sahv siioni chanel 0 kwenye list ya chanel za dstv?
 
Haaah roho mbaya tu kunichongea Nackia Ali kiba kafukzwa kwny nyumba tatizo nn kodi au

Hamna bhana sikukuchongea. Ujue nilitaman niwaambie wakufungulie. Unanikeraga sana ila nilikumiss sana.
Kuhusu Alikiba mpaka sasa hivi yupo kwenye iyo nyumba kama kawaida.
Usisikilize story tafuta evidence. Wanasema ila sio kweli Ali kiba bado yupo kwenye iyo nyumba. Ila kwa kua mb zenu free kusema chochote
 
Hahaha bora umemwambia mkuu mana watu wengine wanachekesha sana. Kakurupuka huko kaja kuwatia moyo wenzake hahah hiv hata sahv siioni chanel 0 kwenye list ya chanel za dstv?

mkuu baada ya mabadiliko hayo Dstv waliamua kuifuta so huwezi kuiona tena
 
Rockstar 4000 wezi wa kazi za Diamond...
Muingie channel o ndo mje hapa, hatuishi kwa tetesi...
 
Huyu si mkongwe hadi ameota Sugu

Anayechipukia tena?

Mwambieni Ajenge Nyumba kwanza sio kuishi kwa huruma za wanawake

Huyo mwanamuziki wenu ana umaarufu ambao hauko translated kwenye pesa.....ana faida gani na huo usanii>

Fanya maisha yako hata kama anaishi nyumba za wanawake ni maisha yake na hakuombi msaada
 
Hayo maneno ya mkosaji tu tushayazoea kabisa. Na wao wageuze Uzi wao uwe ka whatsap.
Usokorokwinyokolo unawasumbua hao kuhangaika na yasiyo waweza.

Hahahahahah.. nyie wadada wa humu ndani mnanifurahisha sana, sasa hapo kwenye red ndo umesemaje momiee...!! Yaani mi na mistress yangu kwaaaaaaaaaaah. Diva, Salimia cute b tafadhari. Halafu nifah simuoni now days yuko wapi huyu.?

BACK TANGANYIKA
 
Last edited by a moderator:
Hahaha bora umemwambia mkuu mana watu wengine wanachekesha sana. Kakurupuka huko kaja kuwatia moyo wenzake hahah hiv hata sahv siioni chanel 0 kwenye list ya chanel za dstv?

Yaan ushabik mwingine tabu sana coz hta huyo wanaemshabikia akigundua huu upuuz cdhan kama atapenda lol!!!!!
 
Hahahahahah.. nyie wadada wa humu ndani mnanifurahisha sana, sasa hapo kwenye red ndo umesemaje momiee...!! Yaani mi na mistress yangu kwaaaaaaaaaaah. Diva, Salimia cute b tafadhari. Halafu nifah simuoni now days yuko wapi huyu.?

BACK TANGANYIKA

Hahahaaaaa mambo wangu? Looh nimekumisi sana.
Vipi ile siku na wew ulipelekwa jela nini? nifah ameenda Maca kutubu atarudi baada ya iddy.
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaaa mambo wangu? Looh nimekumisi sana.
Vipi ile siku na wew ulipelekwa jela nini? nifah ameenda Maca kutubu atarudi baada ya iddy.

Oh no, Mi baada ya kuona uwanja umechafuka na kunuka damu nikaacha busara zangu kwa geniveros na Ms.Lincoln yule sis mwingine (nimemsahau jina) nikaona ndo kachafukwa balaa ndimu haifanyi kazi..!! kucheck kwako nkaona kimya nikajua umeelewa hivyo sikukushitua... maweee kumbe wenyewe washakukimbiza Segerea..!! Narudi siku ya pili na ya tatu nauta kimyaaa.. nikawanajitokea hivi kinyoooonge....

Ooh kumbe nifah yuko macca? duh halafu nasikia wao huwa hawaombei, ningeomba aniombee na mimi..!! Angalia momiee nawe usijeenda kule.. hali itakuwa mbaya hapa..!! Miss u too wane..!!

BACK TANGANYIKA
 
Last edited by a moderator:
Hamna bhana sikukuchongea. Ujue nilitaman niwaambie wakufungulie. Unanikeraga sana ila nilikumiss sana.
Kuhusu Alikiba mpaka sasa hivi yupo kwenye iyo nyumba kama kawaida.
Usisikilize story tafuta evidence. Wanasema ila sio kweli Ali kiba bado yupo kwenye iyo nyumba. Ila kwa kua mb zenu free kusema chochote

mamii cute b JF waweza kuingia bila bundle ndo maana siku unaona wanafunzi wengi
 
Last edited by a moderator:
Fanya maisha yako hata kama anaishi nyumba za wanawake ni maisha yake na hakuombi msaada

hahahahahhahahahahaha....Mkuu....Lazima ma celeburity wetu wanufaike na kazi zao

Huyu ni MFALME......

Lazima ninyi mashabiki wake mhakikishe MFALME wenu anapata mafanikio kutokana na kazi zake

Sio kulazimisha umaarufu wa kizoba...hana hata hela

Au mchangieni ajenge nyumba
 
Back
Top Bottom