Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Umegoma kunielewa nisome tena. Wadate au wasidate na kidot hiyo ni juu yao, kinachokera mtu anayesingia mwezi wa Ramadhani page yake kujigeuza kana kwamba yeye ndio PR wa Kidot.

Anyway labda wengine matatizo yetu ni kutumia akili kubwa kwenye mambo madogo saa nyingine ngumu kueleweka.

Mimi nina rafiki yangu Facebook ni public figure na ni mwislamu mwezi wa Ramadhani huwa anadeactivate account yake. Hii ndio imani na siyo usanii
Wa hawa watoto.

Kila mtu na imani yake matola, huyo aliona adeactivate huyu kaona aiactivate, tukianza kuchambuana kiimani hapa mbona shughuli, maana mwingine atadeactivate fb kumbe kule anakula kitimoto, imani yake anaijua yeye na Mungu wake.
 
AliKiba akizungumza na Leo tena ya clouds,anasema hapendezwi na hizi timu,na anaumia sana,anasikitishwa sana,akamalizia na lazima tusapoti vya kwetu
NB:sijui wenye timu zao mnajisikiaje
 
AliKiba akizungumza na Leo tena ya clouds,anasema hapendezwi na hizi timu,na anaumia sana,anasikitishwa sana,akamalizia na lazima tusapoti vya kwetu
NB:sijui wenye timu zao mnajisikiaje

Kwani wewe huyu Kiba tunayemsapoti ni wa wapi?? Kwani sio wetu huyu??? Tunathamini vya kwetu na tunasapoti ndio maana tunamsapoti Kiba, asichopendezwa nacho ni hiyo mitusi yenu mliyozidisha mpaka mnaonekana wehu(na hicho ndio kinachukiza wengi)
Ila hata iweje am Kiba's fan n i'll always be
 
usisahau kumpa na flavour best live, afu ujiandae na pipa lako la ndimu tar 18 july itakuwa siku ya taifa tunawapiga 3 kavu kama mwaka jana cc. haters wote

Niandalie na tindikali kabisa mpenzi nini ndimu tu??!!!
All the best team wasafi nyie shindeni kwa amani zote kabisa wala haina neno.
Alafu kuitwa hater siku hizi ni sifa mpendwa wangu so usinipe bichwa kivile maana namzimikia Wizkid si kitoto yaani hayo mengine yako mwenyewe na halmashauri yako!
 
Mimi mwenzio na unafki mbalimbali, mtu anayejifanya mwislamu sana mara sijui swaumu mara sijui nyokonyoko leo page yake ya Insta kageuka yeye ndio ofisa uhusiano wa kidoti kurequest warembo wa kujiunga na kidot, hivi haya ndio mafundisho ya uislamu na ramadhani hii?

Wewe nae usituzingue.
Hilo swala la kidoti ni dogo sana wala halina impact yeyote.
Ni sawa na salaamu tu!!
 
Back
Top Bottom