baki huku huku tu wala usiende popote
Hahahaaa anachepuka eee
baki huku huku tu wala usiende popote
Hahahaaa anachepuka eee
hahaha sijamuona kama siku mbili hivi
Hahah mimi ni wa huku milele amina
Umegoma kunielewa nisome tena. Wadate au wasidate na kidot hiyo ni juu yao, kinachokera mtu anayesingia mwezi wa Ramadhani page yake kujigeuza kana kwamba yeye ndio PR wa Kidot.
Anyway labda wengine matatizo yetu ni kutumia akili kubwa kwenye mambo madogo saa nyingine ngumu kueleweka.
Mimi nina rafiki yangu Facebook ni public figure na ni mwislamu mwezi wa Ramadhani huwa anadeactivate account yake. Hii ndio imani na siyo usanii
Wa hawa watoto.