Hahahaaaaa!!! Yaani wasubiri tumalize mfungo watafurahi na roho zao, kwasasa tumpe Mungu nafasi yake huku tukiendeleza mapambano dhidi ya manyang'au wanaoua tembo wetu,
#popitinnnnnnnn
Hahahaaa dia umewaua. Haykyananiii nimecheka eti manyang'au yanaoua tembo wetu hahaha