Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Hahahaaaaa!!! Yaani wasubiri tumalize mfungo watafurahi na roho zao, kwasasa tumpe Mungu nafasi yake huku tukiendeleza mapambano dhidi ya manyang'au wanaoua tembo wetu,
#popitinnnnnnnn

Hahahaaa dia umewaua. Haykyananiii nimecheka eti manyang'au yanaoua tembo wetu hahaha
 
Wanafiki hao acha tuu. Kama yule basenbaner yule ptuuuuu mamy kama mbwai iwe mbwai wangoje huko kuvote paishe ndo waje waombe kumaliza tofauti zetu. Mi panya buku ya kufa mtu yanang'ata huku yanapuliza upande wa pili na nimeliona hilo.
Sijui wanaume wa upande wa pili wana mapungufu gani jaman yaani ngachoka

Mnafiki nenda naye kinafiki nafiki...mpaka mnafika kinafiki ivo ivo.
 
Wanafiki hao acha tuu. Kama yule basenbaner yule ptuuuuu mamy kama mbwai iwe mbwai wangoje huko kuvote paishe ndo waje waombe kumaliza tofauti zetu. Mi panya buku ya kufa mtu yanang'ata huku yanapuliza upande wa pili na nimeliona hilo.
Sijui wanaume wa upande wa pili wana mapungufu gani jaman yaani ngachoka

Hahahaaaaaa!! Ukimuacha mtani wangu Ruttashobolwa wengine hapana kwakweli
Wasijali mchakato ukiisha warudi maana maybe akili zao zitakuwa zimetulia, now bado wana wenge la tuzo.
 
Last edited by a moderator:
Hawajui hizo ndizo icon za nchi? Zingine mbwembwe tu, sasa ni kupambana nao kwa hali zote, Kiba anaipenda nchi yake wallah huyu ni mzalendo wa kwelikweli.

Kweli ndo uzalendo tunaoutaka...
Basi apo wanafiki roho zinawauma walizani tumeshakata tamaa juu ya Kiba hawajui ndo tusha jicommit eee? Wanalo mwaka huu
#kibamiakaelfumoja
 
Sasa wao si wanajiona wanatuchota akili, wanatuona mazuzu! Wacha twende kinafiki ivo ivo.
Ila kwa swala la kura moyo umegoma.

Hahahaaaaa kweli maisha bila unafiki hayaendi, unafiki hoyeeeeee, hivyo hivyo mpaka mwisho wa safari.
 
Kweli ndo uzalendo tunaoutaka...
Basi apo wanafiki roho zinawauma walizani tumeshakata tamaa juu ya Kiba hawajui ndo tusha jicommit eee? Wanalo mwaka huu
#kibamiakaelfumoja

Nikate tamaa nitasikiliza nini sasa taarab!! Hata aache muziki nyimbo zake bado zinaishi nitasikiliza hizo hizo, keeping the good music alive
Ninavyomkubali Kiba acha kabisa siwezi msusa hata iweje, km kumsusa ningemsusa kipindi alichokaa kimya na ndio nikawa nikisikiliza nyimbo zake najisikia burudaaaaaani,
ila km sikumsusa then basi sitokaa nimsuse

#keepingthegoodmusicalive
 
Ndo usha give up mkuu kiasi icho? Plzzzzzz

Mimi mwenzio na unafki mbalimbali, mtu anayejifanya mwislamu sana mara sijui swaumu mara sijui nyokonyoko leo page yake ya Insta kageuka yeye ndio ofisa uhusiano wa kidoti kurequest warembo wa kujiunga na kidot, hivi haya ndio mafundisho ya uislamu na ramadhani hii?
 
Mimi mwenzio na unafki mbalimbali, mtu anayejifanya mwislamu sana mara sijui swaumu mara sijui nyokonyoko leo page yake ya Insta kageuka yeye ndio ofisa uhusiano wa kidoti kurequest warembo wa kujiunga na kidot, hivi haya ndio mafundisho ya uislamu na ramadhani hii?

Ya Mungu mpe Mungu ya Kaisari mpe kaisari, hiyo ni imani yake matola atajuana yeye na Mungu wake, kwani ni kweli anamdate jokate au ni fitna tu za walimwengu ukimzoea mtu basi mshalalana!!!
 
Mimi mwenzio na unafki mbalimbali, mtu anayejifanya mwislamu sana mara sijui swaumu mara sijui nyokonyoko leo page yake ya Insta kageuka yeye ndio ofisa uhusiano wa kidoti kurequest warembo wa kujiunga na kidot, hivi haya ndio mafundisho ya uislamu na ramadhani hii?

Wewe nawe! Mwache asupport watu wanaomsupport.
 
Ya Mungu mpe Mungu ya Kaisari mpe kaisari, hiyo ni imani yake matola atajuana yeye na Mungu wake, kwani ni kweli anamdate jokate au ni fitna tu za walimwengu ukimzoea mtu basi mshalalana!!!

Umegoma kunielewa nisome tena. Wadate au wasidate na kidot hiyo ni juu yao, kinachokera mtu anayesingia mwezi wa Ramadhani page yake kujigeuza kana kwamba yeye ndio PR wa Kidot.

Anyway labda wengine matatizo yetu ni kutumia akili kubwa kwenye mambo madogo saa nyingine ngumu kueleweka.

Mimi nina rafiki yangu Facebook ni public figure na ni mwislamu mwezi wa Ramadhani huwa anadeactivate account yake. Hii ndio imani na siyo usanii
Wa hawa watoto.
 
Umegoma kunielewa nisome tena. Wadate au wasidate na kidot hiyo ni juu yao, kinachokera mtu anayesingia mwezi wa Ramadhani page yake kujigeuza kana kwamba yeye ndio PR wa Kidot.

Anyway labda wengine matatizo yetu ni kutumia akili kubwa kwenye mambo madogo saa nyingine ngumu kueleweka.

Mimi nina rafiki yangu Facebook ni public figure na ni mwislamu mwezi wa Ramadhani huwa anadeactivate account yake. Hii ndio imani na siyo usanii
Wa hawa watoto.

Nimekuelewa sana leo mkuu . Point
 
Back
Top Bottom