Pm yangu haina traffic karibu huku nikukaguwe.
Hahahaaaa aya najaaaa
Pm yangu haina traffic karibu huku nikukaguwe.
peterchoka nimeusikiliza loooh una ujumbe muruacute b this is special dedication to u
Raindrops-2Face
Morning guys
morning Abou Saydou
Mapambno yanaendaje mkuu
+ndo maana hapo mwanzo nilikua namuelezea cute b, team zote 2 zina makosa, zote zinasababisha mauzi kwa each other, sasa for the health of our music, embu haya mauzi yabaki utani tuu lakini kwa mambo ya msingi ya kuufikisha mziki wetu mbali tuweke pembeni au vipi.
+usiseme mbona nyie mlifanya ivi na vile hayo mambo hayaishi, wasanii wetu wote wazuri likitokea jambo jema tusapotiane
Ngoja tumalizane na hili swala la Davido na mtv.
Moyo wangu umegoma kabisa.
sipati picha hapo jana kwa king hahahaha
k 4 real,wenye news yoyote kazi ipi inafuta mtujuze,wengine tunasubir kwa ham good music
Morning guys
Mimi mzima kabisa maisha yanaenda.
Jana mimi na atoto tulienda kufturu na king mwenyewe hahahaaqw
Ngoja tumalizane na hili swala la Davido na mtv.
Moyo wangu umegoma kabisa.