Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Emagine mpaka mtu na akili zake timamu kabisaaa(kama sio za viroba) anatuwekea na shots zao wanazotukanana huko ig na hao mahawara zao walioachana, yaani hawa watu alowaroga kafa kwakweli maana kwa uchawi wetu mzito tulonao haturogi watu wa hivi, they r not worth it.

wanataka tuwajibu tu hawana lolote, ule uzi sijui wameufungua ili iweje
 
aaaaaaah mkuu, kwani na kiba yupo?? tutaanza ugomvi tena na team kiba... wafungulie thread tuwajadili wananiudhi kinoma yani na mwenzao ommydimpoz wanafki kweli wale..

Mkuu hawa wenzetu tu tunawapa changamoto tu. Stress zitawaua
 
Na akisema karudi kukalia kiti chake ambacho kilikuwa hakijakaliwa tatizo liko wapi?? Ofcoz its true nani alikikalia? Hebu niambie ni nani anaweza kuvaa viatu vya Kiba??
Tena ni kuonyesha kwamba yeye ni mwanaume na anajiamini bwanaaaa, maana kamwee haitokaa itokee kuwe na Kiba mwingine.

well said mkuu,unajua wale majirani sijui wanatumia nini kufikiri coz kingkiba alipofuta lile vumbi la kiti wakaanza kusena kaja kupambana na mondi wakati maana yake kiba ni kuwa Kile kiti kilikuwa hakijakaliwa na ndo maana kina vumbi na kingekuwa kimekaliwa wakati yeye hayupo kwenye game kisingekuwa na vumbi maana in real sense mahali palipokaliwa na mtu hapana vumbi.
 
hapana cjafanya kitu alinikuta najibizana nao team domo kule kwenye uzi waliotutukana ndo akaniambia niachane nae nothing else ila hawa jamaa wanatudharau sana ila ngoja tuone #good thing are coming

Oooooh kumbe!! Achana nao bwana weee kwani hizo dharau zao zinakuzuia nn kwa mfano?? Wanakulisha?? Watulie tu watamaliza dose tu mbona, na watapona tu.
 
naona kuna watu wanatafuta kick hapa umewaona. hao jamaa ni wanafiki sana. tuwapotezee ti

hakuna wa kubattle na mimi hata waje wote, nampenda sana atoto huwa hajibizani nao, wengi wamepungua na hata wachache watachoka tu, dawa yao ni kuwaacha tu maana hamna namna
 
Last edited by a moderator:
wanataka tuwajibu tu hawana lolote, ule uzi sijui wameufungua ili iweje

Sasa ndio ujue kuwa wao ndio wanashindana, na waliuanzisha kwa mbwembwe asikwambie mtu, na maneno ya shombo eti uzi wetu utadoda aaaah wapi, hawakujua kuwa huu sie tuliuanzisha kwa mapenzi na suo mihemko thats why bado ni strong na familia ni strong na inazidi kukua, wao wakachambane na team wema ndio size yao
 
hakuna wa kubattle na mimi hata waje wote, nampenda sana atoto huwa hajibizani nao, wengi wamepungua na hata wachache watachoka tu, dawa yao ni kuwaacha tu maana hamna namna

nimekuelewa mkuu. ndo dawa yao kimya kimya sisi tunafanya yetu.
 
Last edited by a moderator:
well said mkuu,unajua wale majirani sijui wanatumia nini kufikiri ciz kingkiba alipofuta lile vumbi la kiti wakaanza kaja kupambana na mondi wakati maana yake kiba ni kuwa Kile kiti kilikuwa hakijakaliwa na ndo maana kina vumbi na kingekuwa kimekaliwa wakati yeye hayupo kwenye game kisingekuwa na vumbi maana in real sense mahali palipokaliwa na mtu hapana vumbi.

Ni mihemko tu inawasumbua hayo hawayaangalii, mie sidhani hata hicho unachodhani wanatumia kufikiria wanacho kweli, wee waangalie tu hata wanaoranda humu utagundua kuna booonge la gape btn two, sasa unadhani ni wa kijihangaisha nao hawa? Size yao team wema tena hata team wema naona wana nafuu ila sio hawa.
 
hakuna wa kubattle na mimi hata waje wote, nampenda sana atoto huwa hajibizani nao, wengi wamepungua na hata wachache watachoka tu, dawa yao ni kuwaacha tu maana hamna namna

Thanks mkuu, hiyo ndio dawa yao pekeee, "ignore" wajichekesheeee, wajipitisheeeee mwisho watajichokea wajiondokee salama.
 
Last edited by a moderator:
Emagine mpaka mtu na akili zake timamu kabisaaa(kama sio za viroba) anatuwekea na shots zao wanazotukanana huko ig na hao mahawara zao walioachana, yaani hawa watu alowaroga kafa kwakweli maana kwa uchawi wetu mzito tulonao haturogi watu wa hivi, they r not worth it.

huyoo bunsenburner hajielewi au sio mzima sio kosa lake #KINGKIBA
 
Alafu mamy kumbe na wew umeblock pm lol nilikuwa nimekuandikia bonge la gazetu kutuma duu mbona nimechokaaa....unaboa bhanaaa mm nimetumia pm ya mume na wew tumia pm ya mume nikutumie bhana maana nitaugua

Pm yangu haina traffic karibu huku nikukaguwe.
 
Oooooh kumbe!! Achana nao bwana weee kwani hizo dharau zao zinakuzuia nn kwa mfano?? Wanakulisha?? Watulie tu watamaliza dose tu mbona, na watapona tu.

sawa mkuu just ignore them for sure but #good things are coming
 

Attachments

  • 1435006315121.jpg
    1435006315121.jpg
    60.4 KB · Views: 77
  • 1435006392671.jpg
    1435006392671.jpg
    45.3 KB · Views: 70
  • 1435006480306.jpg
    1435006480306.jpg
    47.4 KB · Views: 72
Gud night dearest royal family, i love you guys you know, Mungu awe nanyi usiku huu,mpumzike vyema, kesho nayo siku kwa rehema na neema za Mwenye enzi tukutane tena kesho tukiwa wenye afya tele.

same to u my atoto
 
Last edited by a moderator:
Nasubiri collabo ya Kiba na Diamond.

Kama Lil wayne vs Eminem Vileeee..:sleepy::sleepy::sleepy:
 
Back
Top Bottom