Lumbi9
JF-Expert Member
- Oct 12, 2014
- 8,738
- 12,424
Emagine mpaka mtu na akili zake timamu kabisaaa(kama sio za viroba) anatuwekea na shots zao wanazotukanana huko ig na hao mahawara zao walioachana, yaani hawa watu alowaroga kafa kwakweli maana kwa uchawi wetu mzito tulonao haturogi watu wa hivi, they r not worth it.
wanataka tuwajibu tu hawana lolote, ule uzi sijui wameufungua ili iweje