Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

sawa cster ila kule kwenye thread katutukana sana huyu jamaa ila ngoja nimuache kwa heshima yako dada angu #KINGKIBA

Uwiiii wapi tena?? Mie kwenye thread za kipuuzi za wapuuzi hata sijihangaishagi kwenda, kati ya majukwaa ninayoingiaga kwa nadra sn ni celebrity tena inaweza ikapita hata wk, maana ni nadra sn pakawa na cha maana cha kuongelea(no offence)
Kikubwa kilichonivutiaga ni huu uzi wa Kiba aisee maana Kiba ninavyompenda nilipoona kitu kizuri km hiki kimeanzishwa nikatia timu.
 
yani hawa jama wanakera sana uzi wao upo kule wa kimataifa wanakuja huku kufanya nn sasa wanaboa halafu na matusi juu #KINGKIBA
 
Nadhani pia sio sahihi kusema reaction ya mtu mmoja ni reaction ya kundi zima....Tunatofautiana sana katika namna tunavyotazama mambo...haijalishi ni mshabiki wa nani.....mfano unaweza toa comment ambayo labda chige aka react.....sasa kuchukulia reaction ya chige kama reaction ya kundi zima sio sawa....

Pia naamini hakuna aliye mkamilifu...si diamond...si alikiba...wala si sisi mashabiki

tatizo lenu hamjiamini, kuna mmoja nimemwona kafungua uzi kudiss MTV Awards, bila aibu mnamkana, ninyi ni wanafiki sana Freeland
 
Last edited by a moderator:
Nadhani pia sio sahihi kusema reaction ya mtu mmoja ni reaction ya kundi zima....Tunatofautiana sana katika namna tunavyotazama mambo...haijalishi ni mshabiki wa nani.....mfano unaweza toa comment ambayo labda chige aka react.....sasa kuchukulia reaction ya chige kama reaction ya kundi zima sio sawa....

Pia naamini hakuna aliye mkamilifu...si diamond...si alikiba...wala si sisi mashabiki

Mtu mmoja anaweza akareact na wengine wakamlike na kujichekesha chekesha maana yake kilichoandikwa ni sawa
 
yani hawa jama wanakera sana uzi wao upo kule wa kimataifa wanakuja huku kufanya nn sasa wanaboa halafu na matusi juu #KINGKIBA

Na wakija huku ni fujo tu, sijui wanekula mabumunda ya wapiiii!!
Hawajui hii ni royal family?
 
Uwiiii wapi tena?? Mie kwenye thread za kipuuzi za wapuuzi hata sijihangaishagi kwenda, kati ya majukwaa ninayoingiaga kwa nadra sn ni celebrity tena inaweza ikapita hata wk, maana ni nadra sn pakawa na cha maana cha kuongelea(no offence)
Kikubwa kilichonivutiaga ni huu uzi wa Kiba aisee maana Kiba ninavyompenda nilipoona kitu kizuri km hiki kimeanzishwa nikatia timu.

tumpotezeeni kama kedrick tukimjibu ndo tunamtia misifa ila akiendelea na ujinga nitamuumbua uzi wao c upo kule wanakuja kutukana huku #ROCKSTAR 4000 PRESENTS
 
tatizo lenu hamjiamini, kuna mmoja nimemwona kafungua uzi kudiss MTV Awards, bila aibu mnamkana, ninyi ni wanafiki sana Freeland

Uwiii mtv za kimataifa zinapondwa tena?!! Au umesoma vibaya? Eti hakuna mkamilifu hivi tangu lini ndomo akakosea??? Leo ndio wanajua hakuna mkamilifu? Ule uzi wa zingifuri tu alipoongelea ukweli walimkana na kumshangaa hatari eti atakuwa ni team kiba, hahahaaaaa hawa watu bwana wasikusumbue kichwa!! Wanajijua wenyewe
 
Last edited by a moderator:
Na wakija huku ni fujo tu, sijui wanekula mabumunda ya wapiiii!!
Hawajui hii ni royal family?

😀😀😀😀😀😀 et mabumunda umetisha unajua huo msosi kumbe ila hawa jamaa mi siwaelewi kwann wanatutukana hafu bila sababu et cc ni misekule na ma x wa diamond (domo) dah ok #goodthing are coming%
 

Attachments

  • 1435002993103.jpg
    1435002993103.jpg
    39.4 KB · Views: 59
😀😀😀😀😀😀 et mabumunda umetisha unajua huo msosi kumbe ila hawa jamaa mi siwaelewi kwann wanatutukana hafu bila sababu et cc ni misekule na ma x wa diamond (domo) dah ok #goodthing are coming%

hivi we pwilo ni mjomba au ni shangazi, inaonekana unapenda sana battle, uambiwe mara ngapi ndo uelewe?
 
Last edited by a moderator:
Acha nami leo nichangie kidogo. hapo dogo msameheni tu kwa upeo mdogo. Kama kuna possibility ya kukopa na kujenga nyumba kwa nini ujenge kwa kutumia your own cash? kuna mdada humu huwa anadis kwamba watu wanakopa ili kutengeneza video. Kwangu mimi sioni ubaya maana hiyo ni business strategy nzuri tu as laong as umefanya hesabu zako vizuri ukaona una uwezo wa kurudisha mkopo baada ya mauzo

Tunatakiwa kujua hata wafanyabiashara wakubwa matajiri kama kina mzee Mengi wanaendesha biashara kwa kukopa. La muhimu ni kwamba uwe na sifa za kukopesheka, na uwezo wa kurudisha mkopo. Kujenga na kununua magari ya kifahari kwa own cash kunarudisha nyuma maendeleo ya nchi hii. Kopa jenga nyumba, cash yako invest kwenye biashara, faida unayopata rudisha mkopo.

well said veni na Mimi leo nimewaambia kabisa teamondi kuwa wasijifanye wanasema eti Ooh!..KIBA anapambana na mtu ambaye hajamfanya chochote na wao walichukulia vile hawamuoni akiongea juu ya kiba basi he z completely innocent one,kumbe alishaongea shits huko mwanzoni na hiyo ndo sababu wale vijana wa k.koo(kambi ya kiba) kwenda kumpiga na mayai viza pale MAISHA CLUB maana ni shobo sasa coz ata kama kweli mtu amekopa yeye tena mtoto wa kiume inamuhusu nini?...alafu leo hii TEAMONDI wanaraise wanasema eti KIBA anapambana na wrong enemy...whyyy???,pia Mondi alienda mbali tena mbali zaidi kwa kusema eti "KIBA saivi ameisha mziki wake umefulia na haniwezi kimuziki wala kipesa"...NINARUDIA TENA SAIVI KWA HERUFI KUBWA KWAMBA HIYO NDOSABABU ILIYOMFANYA KIBA ARUDI ILI AMPROVE WRONG MONDI KWA IYO KAULI YAKE,alafu me sikuona sababu ya yeye kuongea maneno yote Yale ata kama kiba alikataa kufanya nae collabo kwani lazima?..na alikuwa na haki yakukataa iyo collabo maana zingefuata KAULI kama " Mimi ndo nimwemwinua kiba" tatizo kijana yule anapenda sana sifa ndo maana alijisifu ameenda Nigeria coz alipata mwaliko kwenye harusi ya P-SQUARE alafu baadae P-SQUARE wakakana kumualika na wala hawamjui mtu inaitwa diamond,KWA HIYO TEAMONDI WAJUE KABISA CHANZO CHA BIFU NI MONDI WAO NA SIO KINGKIBA NA PIA WAJUE KIBA ANAFIGHT KWA MTU ALIYE REQUEST BATTLE NAYE NA SIO VENGINEVYO KAMA WANAVYOSEMA ETI KIBA ANATAFUTA KIKI KUPITIA MONDI ILI ARUDI KWENYE GAME,TENA HADI WAKINA BOB JUNIOR WAKAWA WANAMWAMBIA AOMBE RADHI MAANA KIBA HAKUMKOSEA LOLOTE SASA KWANINI AMUANDIKIE VILE?..na hata KIBA alivyohojiwa kwenye SPORAH SHOW alisema kabisa kiukweli Mimi nimeshangaa sana Mondi katokana wapi namimi.
 
😀😀😀😀😀😀 et mabumunda umetisha unajua huo msosi kumbe ila hawa jamaa mi siwaelewi kwann wanatutukana hafu bila sababu et cc ni misekule na ma x wa diamond (domo) dah ok #goodthing are coming%

Acha watukane kwani kuna tusi jipya wamegundua??? Kama ni yaleyale basi wakazane
 
hivi we pwilo ni mjomba au ni shangazi, inaonekana unapenda sana battle, uambiwe mara ngapi ndo uelewe?

mkuu nimekuelewa kwenye makosa c tunarekebishana nimekupata mkuu pa1:thumbup::thumbup::thumbup::thumbup::thumbup:: #kebekebe
 
Last edited by a moderator:
Shika adabu yako wew kwamba wew unafaida sana? Mimi ni mbaya kuliko ata shetani kama ulikuwa hujui.... una kingine kama unacho sema! Mimi ndo mimi bhana maneno yako hayo ni kama ushuzi yanapita tuuu.

hakuna haja ya kumjibu mtu kama huyo. anatafutia watu ban tu. tufanye yetu. ingawa sometimes watu kama hawa wanakera sana
 
Pionaire km ulifuatilia vzr yale mazungumzo ya kiba ambayo wanapenda sn kumsimanga nayo ya kuwa ndomo alifuta mistari yake, utagundua tu ndomo ndio alikuwa na shida maana kabla hajaingiza sauti yake yeye(Kiba) akichofanya alimshauri tu dogo vzr kuwa wimbo ushasimama huo haina haja ya kuifanyia colabo ila dogo akang'ang'ana matokeo yake akafuta tena, sasa jiulize why aliifuta?? Hawa watu wawadanganye tu hao wanaofanana nao akili kuwa ndomo is perfect, ila wasituletee mihemko yao hapa ya kumuona Kiba ndio worse.
 
Last edited by a moderator:
Kwani pwilo kafanya nini tena? Nenda nae taratibu

hapana cjafanya kitu alinikuta najibizana nao team domo kule kwenye uzi waliotutukana ndo akaniambia niachane nae nothing else ila hawa jamaa wanatudharau sana ila ngoja tuone #good thing are coming
 

Attachments

  • 1435004237715.jpg
    1435004237715.jpg
    32.1 KB · Views: 70
Last edited by a moderator:
Emagine mpaka mtu na akili zake timamu kabisaaa(kama sio za viroba) anatuwekea na shots zao wanazotukanana huko ig na hao mahawara zao walioachana, yaani hawa watu alowaroga kafa kwakweli maana kwa uchawi wetu mzito tulonao haturogi watu wa hivi, they r not worth it.
 
Back
Top Bottom