Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Mwanaume wa ukweli(mwenye akili timamu) ni yule anapoona mwanamke anajisahau anamrudisha kwenye mstari sio naye anavuta mkeka kushadadia upuuzi, is that a man kweli??? My dear ukute tunawaonea tu kumbe ni zile id za kiume zenye wanawake behind it.

Very true huyo anaye mrudisha mtu kwenye mstari ni mtu bora. Kuna wanaume washadadiaji na wambea tena wakiona watu wanagombana wanaitana.
Na sie wanawake tujifunze mambo ya kutukana na kuzalilishana viungo vya uzazi sio deal.
Wanaume hutofautiana lakini hawazalilishana viungo vyao. Sie twaona sifa.
 
Sasa izi ndo issue sisi tunazitaka sio ule unafiki wa ku compare compare oooh kiba kafanya shoo sebuleni mara hana follower wengi mara kajamba mara kanya izo sio nzuri.
Ila umenena poa unaweza usiwe shabiki wa mtu ila ukamkubali sasa mimi jana nasema nakubali mziki wa dai watu wakaanza sijui kiba katuchosha sijui tunajipendekeza sijui mavi sijui utumbo waliongea mambo chungu nzima ila apo imeonyesha picha gani? Kwamba ata domo akifanya poa nisisifie si ndio? Au wew umeonaje mamy?

Basi nakuomba kwa heshima yako cute b japo umvotie kijana wetu mtanzania mwenzako diamond we wll be happy 4real coz Kiba anaelekea huko huko internation if atazidisha efforts" hizi ni team kuwapa changamoto wasaniii wetu tu wasijisahau sio timu za kutukanana"
 
Last edited by a moderator:
Acha nami leo nichangie kidogo. hapo dogo msameheni tu kwa upeo mdogo. Kama kuna possibility ya kukopa na kujenga nyumba kwa nini ujenge kwa kutumia your own cash? kuna mdada humu huwa anadis kwamba watu wanakopa ili kutengeneza video. Kwangu mimi sioni ubaya maana hiyo ni business strategy nzuri tu as laong as umefanya hesabu zako vizuri ukaona una uwezo wa kurudisha mkopo baada ya mauzo

Tunatakiwa kujua hata wafanyabiashara wakubwa matajiri kama kina mzee Mengi wanaendesha biashara kwa kukopa. La muhimu ni kwamba uwe na sifa za kukopesheka, na uwezo wa kurudisha mkopo. Kujenga na kununua magari ya kifahari kwa own cash kunarudisha nyuma maendeleo ya nchi hii. Kopa jenga nyumba, cash yako invest kwenye biashara, faida unayopata rudisha mkopo.

:thumbup::thumbup::thumbup::thumbup::thumbup::thumbup: umeongea point sana.
 
venine wengi wanafikiri kukopa ni umasikini hawajui kukopa huwa ni jambo la kawaida. USA yenyewe hukopa hata Tanzania na wafanyabiashara wakubwa sembuse Kiba.
 
Last edited by a moderator:
Very true huyo anaye mrudisha mtu kwenye mstari ni mtu bora. Kuna wanaume washadadiaji na wambea tena wakiona watu wanagombana wanaitana.
Na sie wanawake tujifunze mambo ya kutukana na kuzalilishana viungo vya uzazi sio deal.
Wanaume hutofautiana lakini hawazalilishana viungo vyao. Sie twaona sifa.

Mie ndio maana nikishaona huu uzi ni wa kichochezi na wanaume wazima wanaitana na kushadadia najisepea zangu huyoooo kimya kimya, maana najua nsijetukana mtu nikaishia ban.
 
Basi nakuomba kwa heshima yako cute b japo umvotie kijana wetu mtanzania mwenzako diamond we wll be happy 4real coz Kiba anaelekea huko huko internation if atazidisha efforts" hizi ni team kuwapa changamoto wasaniii wetu tu wasijisahau sio timu za kutukanana"

Sitakuwa najipendekeza?
 
Last edited by a moderator:
Mie ndio maana nikishaona huu uzi ni wa kichochezi na wanaume wazima wanaitana na kushadadia najisepea zangu huyoooo kimya kimya, maana najua nsijetukana mtu nikaishia ban.

Tena wanaume ndo wambeya balaa wanapenda kuona wanawake tunazalilishana maungo yetu wao wana enjoy tu.
Wao hata wakigombana wana solve kiume sie ndo eti twaonyeshana umwamba.
Best solution ni kujisepea zako mapema tu basi.
 
Wakuu nimesoma comment ya mkuu mmoja insta kwenye page ya King kuwa kuna ngoma kali ya Kiba feat Christian Bella imevuja so kama kuna mtu anayo basi aitupie hapa kwenye #royalFamily tuiskie.
 
venine wengi wanafikiri kukopa ni umasikini hawajui kukopa huwa ni jambo la kawaida. USA yenyewe hukopa hata Tanzania na wafanyabiashara wakubwa sembuse Kiba.

Mamy hao wanazani maskini tuu ndo wanakopa. Ila mungu atamwa dhibu tuu
 
Last edited by a moderator:
Sasa izi ndo issue sisi tunazitaka sio ule unafiki wa ku compare compare oooh kiba kafanya shoo sebuleni mara hana follower wengi mara kajamba mara kanya izo sio nzuri.
Ila umenena poa unaweza usiwe shabiki wa mtu ila ukamkubali sasa mimi jana nasema nakubali mziki wa dai watu wakaanza sijui kiba katuchosha sijui tunajipendekeza sijui mavi sijui utumbo waliongea mambo chungu nzima ila apo imeonyesha picha gani? Kwamba ata domo akifanya poa nisisifie si ndio? Au wew umeonaje mamy?

Kwa kweli sio kwa uzalendo huo, mi mwenyewe siku nikiamka na akili zangu za usiku napoooonda tu ama nene!
 
Tena wanaume ndo wambeya balaa wanapenda kuona wanawake tunazalilishana maungo yetu wao wana enjoy tu.
Wao hata wakigombana wana solve kiume sie ndo eti twaonyeshana umwamba.
Best solution ni kujisepea zako mapema tu basi.

Mie kila siku nasemaga wanaume wachache sn cku hizi aisee, mimbeambea,mishakunakuuu,minafikiiiii, tabia za kikekikeeee, maofisini ndio kabisaaa, hizi tabia zao za humu na huko nje ndivyo hivyo hivyo walivyo!!
Na viherehere km wake za balozi, wachache sn wanajitambua utakuta anacomment mpaka unasema "yes thats a man's comment"
 
Wakuu nimesoma comment ya mkuu mmoja insta kwenye page ya King kuwa kuna ngoma kali ya Kiba feat Christian Bella imevuja so kama kuna mtu anayo basi aitupie hapa kwenye #royalFamily tuiskie.

Yuko wapi abou si alisema hii ngoma sijui ina shida gani? Na kuna mtu aliniambia kuwa wanaovujishaga nyimbo za king ni watu wake wa karibu wasio mtakia mema, hili nalo inatakowa awe nalo makoni sana aisee.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom