Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,414
- 176,346
Ndioo hao ndo waongozaji wa matusi kujibizana kihoja hawawezi wao hukimbilia kukashifu na vimipasho vya kijinga. Kuna huyo mmoja huwa anabadilisha I'd na kujifanya kukashifu. Wanaume wengine bwana.
Matusi yote wametutukana,kashfa zote wametoa, mpaka kutuambia we hv outlook mbovu as if wanatujua, leo wanajileta hapa na unafiki wao, kwani walipokuwa wakitutukana na kutukashifu tulikuwa celebrities??
Wapite vile, hapa hatutaki unafiki bwana.