nashangaa sana. ujue wapo kinafiki sana.
Nashukuru ata wew Th Name wangu haupo ivyo maana sikawii kukubadilisha na big G
Last edited by a moderator:
nashangaa sana. ujue wapo kinafiki sana.
Mashabiki wa domo na domo yeye mwenyew mna dharau.. kwa nini? Kwa mfano jana nilisema nakubali baadhi ya nyimbo za domo mkafoka mkizani najipendekeza umeona tabia zenu sasa zilivyo? Watu kama ninyi mnawezaje kunishawishi ni vote for D. Mimi nilichokiona kwenye team yenu mnaongozwa na bifu na mikumbo. Na wanaume matusi mnatutukaja na wanawake wanajichekesha chekesha tuu...mnazani mziki utafikia wapi??
Lazma mkubali kuwa kiba tuzo alistahili lakini sio kujivuna wa ki intaneshno
Matusi yote wametutukana,kashfa zote wametoa, mpaka kutuambia we hv outlook mbovu as if wanatujua, leo wanajileta hapa na unafiki wao, kwani walipokuwa wakitutukana na kutukashifu tulikuwa celebrities??
Wapite vile, hapa hatutaki unafiki bwana.
Akipewa ndomo tuzo kastahili ila akipewa kiba(tena mwenye kipaji kuliko ndomo) inaonekana kapendelewa!!! Like serious??? Kisa mtu anajulikana nigeria basi kila kitu chake ni kizuri? Camoooon kubali kataa ushabiki unawaendesha mnooo, mpaka wanafikia kulinganisha utunzi wa kiba na barnaba kisa kakosa tuzo? Wimbo upi wa b unaingia hata robo kwa mwana???
Au wakati ndomo anachukua b alikuwa hatungi???
Yani hizi timu ni nzuri tukizitumia vizuri kushauri wasanii wetu.
Ila kutofautiana kihoja mtu anaanza kukushambulia hadi kuita sura sijui zikoje Malaya. Hivi si vtuko yani unakuta topic nzuri watu wanaanza kuingiza personal attacks.
Huyo aliishiwa tu hoja halo team kiba tuko vizuri kila idara kuanzia upstairs, good looking and everything. In short we are blessed.
+Mkuu mimi point yangu ni kua hakuna upande ambao hauna matatizo, dharau na matusi, kubali ukatae, labda nikupe mifano michache pengine utanielewa;
+kuna shabiki wa Diamond anapenda msanii wake kuitwa "Domo"?
+kuna shabiki shabiki wa Diamond anapenda hii kauli "unaweza kuondoka tandale lakini huwezi kuuacha utandale"
+kuna shabiki wa Diamond anapenda kusikia mtu anaponda mafanikio ya Chibu, mfano katika nominesheni za MTV Diamond hastahili hata 1, mara sijui Mondi ananunua mashabiki na bla bla mingi.
+na suala la matusi team zote zinatukana me nimeshuhudia matusi mengi tu humu.
+swali langu linabaki palepale je siku Kiba akipata nominesheni kimataifa mashabiki wa Chibu wasishawishike kumpigia mondi kwa sababu ya mauzi hayo niliyoyataja? Embu assume wewe huna team halafu ndo ujibu hilo swali.
+tathmini mziki wetu tutakua tunaujenga au tunabomoa?
Dia Leo umenifurahsha mno yani umeongea ma point sana wenye akili wamekuelewa sana.
Only truth will set us free and not hatred and hypocracy. Kutofautiana kupo tu usifikie mahali watu wanajitoa ufahamu na kushindwa Ku reason vizuri.
Mihemuko mibaya hili ni jukwaa la great thinkers lazma tujitofautishe na instagram.
Hilo la bifu na mikumbo ndo lao bora kudandia vtu kwa mbele kitu mtu akimhusu unaingilia.
Yani wanaume kuzalilisha ndo sifa. Mi mwanamke mwenzangu hata ka simkukubali siwezi Ku support huo uzalilishaji na kuwa support.
#LetUseOurCommonSenseInReasoning .
#RespectEachOtherNoMatterOurDifferences .
Yani mi kiba namkubali sana tangia enzi hzo no matter what kwangu ni best.
Tena nashangaa sana watu wanavyo tu attack simply coz we are appreciating Kiba, kamwe tutamu support na atakapoenda wrong tutamwambia.
#K4Really
#TogetherAsOneYesWeCan
#TeamKibaForeverOneLove
Th Name nakubali sana mashabiki wa kiume wa king kiba na wa respect sana hamnaga umbea umbea na unafiki kama watoto wa kike.hahahaha cute b. ndo maana nakukubali sana
Kiba hajawahi kusema hana haja ya tuzo so kama mkitaka kuvote fanyeni ivyo msipo penda acheni tuu maana kubali mkatae chanzo cha yote hayo bifu zote zimeanzia kwenu
Kiba hajawahi kusema hana haja ya tuzo so kama mkitaka kuvote fanyeni ivyo msipo penda acheni tuu maana kubali mkatae chanzo cha yote hayo bifu zote zimeanzia kwenu
+asante kwa kunielewa kua haya mauzi tunayouziana kati ya team hizi mbili sio sababu ya msingi ya kukacha kumpigia kura msanii mmojawapo akipata nominesheni za kimataifa!
+sasa turudi kwenye hili la sasa hivi, labda ni wapi Mondi alisema hataki tuzo? Na hizo tuzo ni zipi? Na mm nijue pengine alisema hataki hizi tuzo me nikawa najipendekeza kumpigia.
Th Name nakubali sana mashabiki wa kiume wa king kiba na wa respect sana hamnaga umbea umbea na unafiki kama watoto wa kike.
Nyeusi nyeusi nyeupe nyeupe.... peterchoka salute kwako pia mkuu hulei ujinga ulinikuta maeneo flan ukaniambia niache. Yaaah ndo tunataka wanaume kama kibas fans
Hahahaaaa alafu kweli kama huyu data kama mbumbumbu fulani ivi
Kwanza kabisa alianza kukandia tuzo za kill musc award akisema zina ubaguzi na zinadhoofisha mziki. Maana yake alikuwa hazihitaji that y hajawahi kupost kweny ukurasa wake kua anaomba kura maanake alikuwa hazihitaji ila sa hivi kapost izo za nje maana yake ndo anazihitaji ila kwa nini akatae za ndani?
Yani mi kiba namkubali sana tangia enzi hzo no matter what kwangu ni best.
Tena nashangaa sana watu wanavyo tu attack simply coz we are appreciating Kiba, kamwe tutamu support na atakapoenda wrong tutamwambia.
#K4Really
#TogetherAsOneYesWeCan
#TeamKibaForeverOneLove
Nakuja pm mamy
Labda nikusaidie kitu.+asante kwa kunielewa kua haya mauzi tunayouziana kati ya team hizi mbili sio sababu ya msingi ya kukacha kumpigia kura msanii mmojawapo akipata nominesheni za kimataifa!
+sasa turudi kwenye hili la sasa hivi, labda ni wapi Mondi alisema hataki tuzo? Na hizo tuzo ni zipi? Na mm nijue pengine alisema hataki hizi tuzo me nikawa najipendekeza kumpigia.