BansenBurner
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,809
- 5,779
Unajua wakuu nyie mnakosea sana. Maneno yenu yamejaa kejeli sana mtanisamehe lakini.
Mi muda wa kuacha kufanya jambo ili umuumize fulani tunaenda na fact na kama huna cha kuchangia unaweza mkanyamaza. Maana hatujawafata kwenye uzi wenu hapa tupo kumshauri kiba na nazani mnaelewa sasa mnavyoleta maneno yenu ya kashfa ni wazi mnataka ligi za kijinga tuu. Acheni izo wakuu nyie ni wanaume maneno hayo waachieni akina dada. Mbona Freeland yeye anaandika anaeleweka na ndo kazi ya mwanaume iyo au nyie sio wanaume?
Mbona tunatoa ushauri humu we r all 2wen t become to series issue haha bt jokes sometmz. I wish kiba angesikia the way mnavyomwambia amna anayependa wasanii wetu wabaki chini cz thy rep Tz flag out thre.
Last edited by a moderator: