Pionaire
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 1,595
- 1,135
Pionaire ndomo hakoseagi bwana, tangu lini mtakatifu akakosea, he is perfect hawezi ongea hayo, hahahaaaaaaa!! Waje tena wasema ni global, uwiiiiii Kiba hebu piga kazi unipe raha mie
Hapo sasa atoto,kwa iyo wajue wazi kuwa kiba hawezi pambana na mtu ambaye haja request battle,kijana MONDI alilianzisha mwenyewe jamani,alafu embu tutafakari hapo je kiba angetoa naye collabo...ni nani angepata kiki kati ya hao wawili ni yeye ambaye angejisifu kuwa amemuinua msanii wa muda kwenye B.fleva au kiba ambaye angekandiwa kuwa emerudi kupitia MONDI?...kutokana na tabia ya MONDI ya kujisifu KIBA alikuwa na kila sababu yakukataa kuimba naye kisha akaja toka na single yake menyewe ya MWANA iliyokubalika vizuri tu,alafu kuna sehemu humu nimeona diva Beyonce akielezea unafki Kwenye hii industry ya muziki wa B.fleva...yani alichokisema hakukosea kabisa embu ona OmmyDimpoz juzi tu Kwenye tuzo za KTMA alipiga picha na tuzo za KINGKIBA wakati alimpondaga huko nyuma kisa alikuwa rafiki wa MONDI haya sasa now haiivi na ata uyo MONDI mwenyewe...wewe umelionaje hili?..kama vipi mfungulieni Uzi wa kumchamba jamani ama neneee?..wote kwa pamoja(TEAM MONDI na TEAM KIBA) mumpe vidonge vyake...maana alimdharau king wakati ndo alimtambulisha Kwenye B.flavour kupitia track yake ya NAINAI,alafu akabugi kutokana na wema wakati alikuwa shemeji yake kwa MONDI... Huyu jamaa Mimi simuelewi kabisa asee.