Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Pionaire ndomo hakoseagi bwana, tangu lini mtakatifu akakosea, he is perfect hawezi ongea hayo, hahahaaaaaaa!! Waje tena wasema ni global, uwiiiiii Kiba hebu piga kazi unipe raha mie

Hapo sasa atoto,kwa iyo wajue wazi kuwa kiba hawezi pambana na mtu ambaye haja request battle,kijana MONDI alilianzisha mwenyewe jamani,alafu embu tutafakari hapo je kiba angetoa naye collabo...ni nani angepata kiki kati ya hao wawili ni yeye ambaye angejisifu kuwa amemuinua msanii wa muda kwenye B.fleva au kiba ambaye angekandiwa kuwa emerudi kupitia MONDI?...kutokana na tabia ya MONDI ya kujisifu KIBA alikuwa na kila sababu yakukataa kuimba naye kisha akaja toka na single yake menyewe ya MWANA iliyokubalika vizuri tu,alafu kuna sehemu humu nimeona diva Beyonce akielezea unafki Kwenye hii industry ya muziki wa B.fleva...yani alichokisema hakukosea kabisa embu ona OmmyDimpoz juzi tu Kwenye tuzo za KTMA alipiga picha na tuzo za KINGKIBA wakati alimpondaga huko nyuma kisa alikuwa rafiki wa MONDI haya sasa now haiivi na ata uyo MONDI mwenyewe...wewe umelionaje hili?..kama vipi mfungulieni Uzi wa kumchamba jamani ama neneee?..wote kwa pamoja(TEAM MONDI na TEAM KIBA) mumpe vidonge vyake...maana alimdharau king wakati ndo alimtambulisha Kwenye B.flavour kupitia track yake ya NAINAI,alafu akabugi kutokana na wema wakati alikuwa shemeji yake kwa MONDI... Huyu jamaa Mimi simuelewi kabisa asee.
 
Hivi hiyo Rockstar4000 mbona jina kubwa alafu ovyo, kiba kiba video tunataka...

Hii Rockstar4000 ni kampuni ambayo iko partner na Sony Music hawa wako international sana japo wanajitahdi kuinua vipaji vya africa yan local artist lkn wamefail cz wako kizungu zaid na prosess zao ziko slow pia nahisi wana mlimit sana msanii akiingia nao mkataba. Kiba anashindwa kufanya kazi the way anataka kwa speed. Hawa Rockstar400 ndio walimfelisha Rose Muhando pia sawa ukiingia nao mkataba wanakupa pesa bt hawajui soko la East africa au africa kiujumla naona wanashindwa kumsaidia msanii. Rose muhando alitoa Wololo video alishoot SA na album bt ilifeli sokoni nw kapotea. Hii management sio nzuri Kiba atambue hilo
 
Jamani labda tujikumbushe kidogo bifu kati ya KIBA na MONDI liliaanza muda kidogo,na hao mnaosema hawajawai sikia shits za mondi juu ya kiba ni waongo kabisa au hamjui tatizo lilivyoanza...kwa ufupi pindi KIBA yupo nje mziki MONDI alishaongea vitu vya dharau vingi juu ya king mfano huo hapo chini,na ikumbukwe apo ndo ilikuja sababisha kambi ya kiba(vijana wa k.koo) wakaendaga kumpiga mondi na mayai viza club maishani alikokuwa anapiga show kipindi cha nyuma ata bado haja hit nje ya TZ,naona watu wamesahau hili na wengi nimegundua wamelishtukia bifu limekua kubwa ila hawajui chanzo coz nimeona ata kule kwenye jukwaa la burudani kuna mdau aliuliza nini chanzo cha bifu hasa kati ya hao wawili,Ok!..that's how it was,lakini haikufahamika kwanini MONDI aliamua kuonyesha dharau kwa mtu ambaye alikua ametulia kwenye game kwa wakati ule?
View attachment 262480View attachment 262480
Je ni kweli ilo jibu la alikiba kule Twitter ndo limemfanya atoe shit kama iyo?,na kulikuwa na ulazima gani wa yeye kufikia huko? Maana kama mtu amesema hataki kuimba nae Si basi tu na haina ulazima.

Baada ya kauli hizo za platnmz kuenea msanii bonge la nyau alimpa makavu yake fasta.
View attachment 262495
Sasa kama mtu amekopa ili ajenge nyumba yake yeye ilimuhusu nini labda kwani kukopa dhambi?
Na katika hali isiyo ya kawaida msanii OmmyDimpoz(kipindi icho alikuwa best wa MONDI) alivyhojiwa kuhusu MONDI na KIBA naye akamkandia kiba kwa kusema jamaa ameisha hana jipya wakati kiba ndo alimtoa kwenye ile collabo ya nainai.

Nyingine hii...ila watu na mahaba yao.Hawawezi kuona ubaya
 

Attachments

  • 1434967150140.jpg
    1434967150140.jpg
    8.6 KB · Views: 84
Hapo sasa atoto,kwa iyo wajue wazi kuwa kiba hawezi pambana na mtu ambaye haja request battle,kijana MONDI alilianzisha mwenyewe jamani,alafu embu tutafakari hapo je kiba angetoa naye collabo...ni nani angepata kiki kati ya hao wawili ni yeye ambaye angejisifu kuwa amemuinua msanii wa muda kwenye B.fleva au kiba ambaye angekandiwa kuwa emerudi kupitia MONDI?...kutokana na tabia ya MONDI ya kujisifu KIBA alikuwa na kila sababu yakukataa kuimba naye kisha akaja toka na single yake menyewe ya MWANA iliyokubalika vizuri tu,alafu kuna sehemu humu nimeona diva Beyonce akielezea unafki Kwenye hii industry ya muziki wa B.fleva...yani alichokisema hakukosea kabisa embu ona OmmyDimpoz juzi tu Kwenye tuzo za KTMA alipiga picha na tuzo za KINGKIBA wakati alimpondaga huko nyuma kisa alikuwa rafiki wa MONDI haya sasa now haiivi na ata uyo MONDI mwenyewe...wewe umelionaje hili?..kama vipi mfungulieni Uzi wa kumchamba jamani ama neneee?..wote kwa pamoja(TEAM MONDI na TEAM KIBA) mumpe vidonge vyake...maana alimdharau king wakati ndo alimtambulisha Kwenye B.flavour kupitia track yake ya NAINAI,alafu akabugi kutokana na wema wakati alikuwa shemeji yake kwa MONDI... Huyu jamaa Mimi simuelewi kabisa asee.

amesahau alipotoka yule mondi. ubinadamu kazi sana. huyu dimpoz nae mnafiki sana juzi kwenye ktma ndo amejidhihirisha
 
+kuna hizi habari ambazo global waliandika "Diamond amuita jokate makombo" na "kumbe mimba ya Zari ni ya katunzi". Sasa atakayeziamini/aliyeziamini hizi habari basi asisite kuiamini na hii ya Kiba!

+hao ndo global katika ubora wao.
 
Kiba alipohojiwa na Bdozen kipindi anatambulisha Chekecha Audio, alisema kuwa no# ya R.Kelly anayo huwa anawasiliana naye, mara nyingine kiba humtafuta Kelly na mara nyingine Kelly ndo humtafuta Kiba, pia akaulizwa swali, je mara ya mwisho ya wewe kuongea na R.Kelly ni lini? Kiba akajibu kuwa 2 weeks ago.

Sasa hapo mi nikabaki na maswali kichwani, mbona kiba hatumii hizo fursa?

Usintie machungu mie!
 
Hii Rockstar4000 ni kampuni ambayo iko partner na Sony Music hawa wako international sana japo wanajitahdi kuinua vipaji vya africa yan local artist lkn wamefail cz wako kizungu zaid na prosess zao ziko slow pia nahisi wana mlimit sana msanii akiingia nao mkataba. Kiba anashindwa kufanya kazi the way anataka kwa speed. Hawa Rockstar400 ndio walimfelisha Rose Muhando pia sawa ukiingia nao mkataba wanakupa pesa bt hawajui soko la East africa au africa kiujumla naona wanashindwa kumsaidia msanii. Rose muhando alitoa Wololo video alishoot SA na album bt ilifeli sokoni nw kapotea. Hii management sio nzuri Kiba atambue hilo

Mkuu Bansen Burner asante kwa analysis yako nzuri, basi kama hali ni hii inabidi kiba ajitazame upya.
 
Last edited by a moderator:
kweli mkuu...hata mimihua nayapuuza ...mfano ile habari yao ya kipuuzi kuwa mimba ya zari ni ya katunzi

Hili la mimba umelikazania kweli?? Is that the only thing wanachoandikaga cha kizushi? Hii ya mimba imekuuma kweli, pole utafanyaje sasa ndio washaandika, alafu usihofu bwana mondi si alishapima dna wakajua mtoto ni wa kike(😉😉)
 
Kosa lake ni mtakatifu sana hafanyi makosa kabisa.

Mkuu nauliza tu kujua...sio kwa ubaya...huenda kuna jambo kubwa na baya sana alilofanya diamond kustahili chuki hii...ningependa kujua
 
Si waliandika diamond kasema Ali kiba anakula makombo kwa jokate na tuka amini.

Mkuu nikwambie kitu? Tuvue uteam tuweke pembeni..
Ni iviii wewe si unamkubali dai? Na mimi si nina mkubali kiba? Ivi ni vitu viwili tofauti sawa sawa na simba na yanga. Au man u na Chelsea. Isipo fika mahali kila mtu akamind business zake tutajikuta wote ni wajinga. Wew unazani siku yanga na azam wakicheza simba watawashangilia wakina nani? Ukiwauliza sababu ya kufanya ivyo ni kwamba hakuna.
Sasa wew kama unamkubali dai ni maamuzi yako na hamna atakayeweza kukubadilisha na kama mimi namkubali kiba ni maamuzi yangu hamna atakayeweza kunibadilisha. Kila mtu amshauri msanii wake anaye mpenda ila sio kila kiba anachokifanya lazma mumfananishe na domo sio fair. Unaweza ukaona ukakausha tuu kwani ni lazimq kiba awe kama domo? Au domo awe kama kiba? Ushabiki ushatufanya tuonekane kama machiz fulan ivi kutetea adi ujinga kwa ajili ya uteam haitakiwi iwe ivyo kama kiba kazingua njoo useme kiba kazingua hapa na hapa sisi tutaungana na wew lakini kwenye kuzingua kwa kiba usilinganishe na mafanikio ya daimond coz kila mtu na ridhiki yake aliyepanga ni Mungu.
Imekaa poa mkuu si ndio? Yaah ukiona kiba kazingua njoo funguka tuu bila kum compare ili kuepusha mvutano
 
alafu usihofu bwana mondi si alishapima dna wakajua mtoto ni wa kike(😉😉)

Mkuu...kwa kukuelimisha tu usije ukakosea mara nyingine.

Wamepima Kipimo cha Ultrasound kujua jinsia ya mtoto

DNA ni kipimo cha vinasaba(genes) ambacho kinaweza fanywa mtoto akishazaliwa.

Hilo la mimba ni moja ya habari za kizushi kabisa...ndio maana naona hawa Global ni wazushi kwa habari zao zote
 
Back
Top Bottom