Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

tunaomba umuondoe zingifuri harakaa anaharibu usalama wengne hatuwez kujizuiya

Huyu katumwa na nazani ni yule yule.. alafu katuandika kule mtaa wa pili wahi ukasome kabla haujafutwa maana nisham report..
 
bora kwa mreport.anatafuta kick yule

Alafu ashaona ni fashen hii ni mara ya pili anatuandika kwani hawezi kufungua uzi bila kutu mention?..ana boaa
Anategemea watu tutaenda pale kupambana.
Afu kumbe adi wew ume tajwa polee
 
Alafu ashaona ni fashen hii ni mara ya pili anatuandika kwani hawezi kufungua uzi bila kutu mention?..ana boaa
Anategemea watu tutaenda pale kupambana.
Afu kumbe adi wew ume tajwa polee

hana jipya. asante cute b. amenitaja kichwa maji yule
 
Last edited by a moderator:
hana jipya. asante cute b. amenitaja kichwa maji yule

Yule ni team domo na wameona saivi tume potezea upuuzi wao tunafanya yetu sasa wanajitahidi kututoboa na vidole machoni...
Kama mtu anataka kuwa maarufu jf atafute njia nyingine lakini sio kutafuta kiki kwa kiba fans.
Ina maana bila sisi celebrity forum haiendi?
Wamenikera sana
 
Last edited by a moderator:
Yule ni team domo na wameona saivi tume potezea upuuzi wao tunafanya yetu sasa wanajitahidi kututoboa na vidole machoni...
Kama mtu anataka kuwa maarufu jf atafute njia nyingine lakini sio kutafuta kiki kwa kiba fans.
Ina maana bila sisi celebrity forum haiendi?
Wamenikera sana

ndo hapo sasa kila mtu ana uzi wake. tunampotezea tu boya yule
 
safi sana. ajifanye mbishi

Alizani anaweza kutembelea nyota za watu ili ajulikane.
Sisi ndo kiba fans bhaaana kama anatafuta umaarufu jf aandike habari za kiba na sio sisi..
Hapa sio mahali pake
 
Back
Top Bottom