Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Alafu ashaona ni fashen hii ni mara ya pili anatuandika kwani hawezi kufungua uzi bila kutu mention?..ana boaa
Anategemea watu tutaenda pale kupambana.
Afu kumbe adi wew ume tajwa polee

Dawa yake kumpotezea tu ameshaona sifa. Hawa mashabiki wadomo kwa kujizalilisha hawatumii akili. Sasa mtu kumshabikia kiba imekua kosa. Waswahili bwana wana matatizo.
 
Alizani anaweza kutembelea nyota za watu ili ajulikane.
Sisi ndo kiba fans bhaaana kama anatafuta umaarufu jf aandike habari za kiba na sio sisi..
Hapa sio mahali pake

ndo hapo sasa. anataja taja watu hovyo tu
 
Tatizo sio kufutwa mods angei emerge I'd maana huyo anatumia multiple I'd ndo ingekua fundisho. Kufuta tu sio solution angemuunganishia id's zake.

Ujue huyu mtu itakuwa kuna trick anatumia hatumii divice moja ku log in... itakuwa yake ya siku zake anatumia simu na hii anaoandikia upuuz wake anatumia computa na ndo maana anaingia siku moja kwa mwezi sasa kwa mods kugundua inakuwa ni tabu.
 
Ujue huyu mtu itakuwa kuna trick anatumia hatumii divice moja ku log in... itakuwa yake ya siku zake anatumia simu na hii anaoandikia upuuz wake anatumia computa na ndo maana anaingia siku moja kwa mwezi sasa kwa mods kugundua inakuwa ni tabu.

Huyo kwa Ku connect tu mwandiko ni ana I'd Tatu hyo zingifuri ndo anatumia kutukana watu jf hizo nyingine mbili ya MMU na jukwaani kujifanya mwema. Hana tofauti na pepo na anatabia za kiswahili. Mi shamgundua hafu anaendaga na kwa sintah kutukana watu.
Kuna watu uelewa wao mdogo mno hasa hyo timu wanaume wana act ka wanawake.
 
Huyo kwa Ku connect tu mwandiko ni ana I'd Tatu hyo zingifuri ndo anatumia kutukana watu jf hizo nyingine mbili ya MMU na jukwaani kujifanya mwema. Hana tofauti na pepo na anatabia za kiswahili. Mi shamgundua hafu anaendaga na kwa sintah kutukana watu.
Kuna watu uelewa wao mdogo mno hasa hyo timu wanaume wana act ka wanawake.

Watashinda lakini hawatashinda...sisi mbele kwa mbele.
Huo muda angetumia kupiga kura
 
Ujue huyu mtu itakuwa kuna trick anatumia hatumii divice moja ku log in... itakuwa yake ya siku zake anatumia simu na hii anaoandikia upuuz wake anatumia computa na ndo maana anaingia siku moja kwa mwezi sasa kwa mods kugundua inakuwa ni tabu.

Mods wana mvumilia tuu kama wanavyo wavumilia wengine....soon atavuliwa nguo...wakimchoka...na huto amini kama ni yeye! Wana muhesabia tuu na lazima wamesha muonya....akiendelea utajionea...! Hakuna mjanja wa kuwazidi mods hapa!
Kuna watu walikuwa hadi wana jianzishia thread kuwa wamekufa lakini mods waka wavua nguo..ilikuwa ni aibu na fedheha kubwa...hadi leo huwa najiuliza kwanini alifanya vile...daaa ! Huyo dawa yake ina chemka!
 
Mods wana mvumilia tuu kama wanavyo wavumilia wengine....soon atavuliwa nguo...wakimchoka...na huto amini kama ni yeye! Wana muhesabia tuu na lazima wamesha muonya....akiendelea utajionea...! Hakuna mjanja wa kuwazidi mods hapa!
Kuna watu walikuwa hadi wana jianzishia thread kuwa wamekufa lakini mods waka wavua nguo..ilikuwa ni aibu na fedheha kubwa...hadi leo huwa najiuliza kwanini alifanya vile...daaa ! Huyo dawa yake ina chemka!

Makubwaaaaa kuna mtu alijifungulia uzi kuwa amekufaa? Lol
 
Mods wana mvumilia tuu kama wanavyo wavumilia wengine....soon atavuliwa nguo...wakimchoka...na huto amini kama ni yeye! Wana muhesabia tuu na lazima wamesha muonya....akiendelea utajionea...! Hakuna mjanja wa kuwazidi mods hapa!
Kuna watu walikuwa hadi wana jianzishia thread kuwa wamekufa lakini mods waka wavua nguo..ilikuwa ni aibu na fedheha kubwa...hadi leo huwa najiuliza kwanini alifanya vile...daaa ! Huyo dawa yake ina chemka!

Hahahahahaaaaa, nimecheka sana aisee! Watu wanajaribu kupima wanapendwa au hawapendwi huku au nini? Hadi mtu ajianzishie uzi amekufa hilo ni balaa.
 

Attachments

  • 1433962946859.jpg
    1433962946859.jpg
    50.4 KB · Views: 151
Last edited by a moderator:
Hapo yupo na La Aziz hospital sijui...chezea!
 

Attachments

  • 1433963023155.jpg
    1433963023155.jpg
    45.5 KB · Views: 149
Na hapo je?Maelezo baada ya taarifa ya habari
 

Attachments

  • 1433963126146.jpg
    1433963126146.jpg
    56.4 KB · Views: 136
Nimekukumbuuukaaah!
Shwaare?
(In sandra'voice)...
Mtu mzima ovyooooo...
Mtoto anatembea na mama mtu mzima, Mama anatembea na kiserengeti boy!
Whhhhy?
 
Tutaaandamanaaa urudiiiii!
Chezeya serengeti boy wewe!
Mpaka unachanganyikiwa, kulia huwezi, kucheka huwezi.....
Unabaki kupigiwa debe na dadako tu....kweli mama rahisi kapatikana
 
nifah hivi huyu mama ni anaumwa au kibuti kimemchanganya. Sijauelewa vizuri ubuyu wa anko saleh
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom