pwilo
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 11,561
- 14,627
Tatizo hawana ustaarabu na kuheshimu wengine basi na mambo ya kitoto yana wasumbua hyo ndo dawa yao.
kiba katufundisha upole na upendo wale wanapenda sifa na mauzo
Tatizo hawana ustaarabu na kuheshimu wengine basi na mambo ya kitoto yana wasumbua hyo ndo dawa yao.
Nice nyt kiba's fans
na kwako pia
Asante sana mkuu
King alikuwepo kwenye interview ndan ya VOICE OF AMERICA
Guuuuuud morning the royal family
Guuuuuud morning the royal family
Morning lov
Jamani picha za king k kwenye show zipo wap?????
Nataka nione, nimuone king akiwa huko kwa obama
Ignore list inakuhusu ngoja nianze proces
King anashukuru kwa wote mliompigia kura, tungoje tarehe 13 sasa tujue nani ni nani.
All the best King Kiba!
Thats the spirit of the king, i'll always be proud of him
Kapendezaje sasa? Uwiiiiii.Halafu nimeshatoka huko nilitaka nitembelee na kwa chibu nikaangalie watu wanamchambaje kuhusu mamie na serengeti wake!