safi mkuu kwa mapenzi yako kwa KING KIBA
Yaani pale kwa kiba sifurukuti...
Vip nipe mrejesho huyo bweha kaja tena kupost ushuz? Maan mimi na yeye ndo basi tena hatuonani
safi mkuu kwa mapenzi yako kwa KING KIBA
Wanakera sn bwana na viherehere vyao, hiyo tuuu ndio dawa yako
Tatizo hawana ustaarabu na kuheshimu wengine basi na mambo ya kitoto yana wasumbua hyo ndo dawa yao.
Unauliza ustaarabu pale tena!!! Watuache na King wetu bwana, kwani nani kawashikia panga wamshabikie???
Mwenzangu Timu kiba forever sijui kinacho washinda kumsifia domo bila kumtaja kiba sijui hawasikii raha.
#TeamKibaforever
Watu watatu wanachat tangu asubuhi mpaka jioni hii, u jobless tatizo. Mungu wapatie ajira hawa shetani anawafundisha matusi.
Wewe naye waki chart wewe una washwa nini? Una kihede mswede ka mke wa balozi na mshakunaku mkubwa.
Kisonokono wewe unamjua shetani wewe:what::what:😱😱😀
Wewe naye waki chart wewe una washwa nini? Una kihede mswede ka mke wa balozi na mshakunaku mkubwa.
Kisonokono wewe unamjua shetani wewe:what::what:😱😱😀
Just keep on ignoring them my dear, na ukizingatia hakuna anayemlisha humu wala kumuomba pa kulala! Walaaaa usipoteze nao muda, lets enjoy the gud music from the King himself.
Achana na huyu dada,
Ni wa kutupwa kwenye dustibin tu basi.
Just keep on ignoring them my dear, na ukizingatia hakuna anayemlisha humu wala kumuomba pa kulala! Walaaaa usipoteze nao muda, lets enjoy the gud music from the King himself.
Nishafanya yangu yaani maana huyu ni safura tuu atatuletea minyoo humu
Hahahahahaa, naona leo mmeamua!
Huyu ndo wale wale shost
Hahahahahaa, naona leo mmeamua!
Sijui kinacho wahangaisha ni nini? Kufungua I'd nyingi. Ujinga ni mzigo.
Maogaaa..
Tena sasa hvi wanavoanzisha nyuzi kuhusu Kiba kutaka league mi ndo kabisa sijihangaishi.
Yaani pale kwa kiba sifurukuti...
Vip nipe mrejesho huyo bweha kaja tena kupost ushuz? Maan mimi na yeye ndo basi tena hatuonani