Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Tatizo hawana ustaarabu na kuheshimu wengine basi na mambo ya kitoto yana wasumbua hyo ndo dawa yao.

Unauliza ustaarabu pale tena!!! Watuache na King wetu bwana, kwani nani kawashikia panga wamshabikie???
 
Watu watatu wanachat tangu asubuhi mpaka jioni hii, u jobless tatizo. Mungu wapatie ajira hawa shetani anawafundisha matusi.
 
Watu watatu wanachat tangu asubuhi mpaka jioni hii, u jobless tatizo. Mungu wapatie ajira hawa shetani anawafundisha matusi.

Wewe naye waki chart wewe una washwa nini? Una kihede mswede ka mke wa balozi na mshakunaku mkubwa.
Kisonokono wewe unamjua shetani wewe:what::what:😱😱😀
 
Wewe naye waki chart wewe una washwa nini? Una kihede mswede ka mke wa balozi na mshakunaku mkubwa.
Kisonokono wewe unamjua shetani wewe:what::what:😱😱😀

Just keep on ignoring them my dear, na ukizingatia hakuna anayemlisha humu wala kumuomba pa kulala! Walaaaa usipoteze nao muda, lets enjoy the gud music from the King himself.
 

Attachments

  • 1433784790345.jpg
    1433784790345.jpg
    11.9 KB · Views: 71
Just keep on ignoring them my dear, na ukizingatia hakuna anayemlisha humu wala kumuomba pa kulala! Walaaaa usipoteze nao muda, lets enjoy the gud music from the King himself.

Nishafanya yangu yaani maana huyu ni safura tuu atatuletea minyoo humu
 

Attachments

  • 1433784861842.jpg
    1433784861842.jpg
    6.9 KB · Views: 77
Tena sasa hvi wanavoanzisha nyuzi kuhusu Kiba kutaka league mi ndo kabisa sijihangaishi.

Hahahaaa bora ata shost mimi mwenyew napita kama sioni mijinga kweli imezoea kiki kutoka kwa kiba fans ndo tumewapuuzi nyuzi zao zimepwaya haswaaa
 
Back
Top Bottom