Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

sr bachelor mbona picha zako sijui nini hazifunguki? Nimejaribu mara tatu yaleyale!
Nimeshidwa kuupload sijui kwa nini..nina some short video na pics nashidwa kuziupload..unaweza fanya hiyo kazi nkutumie..I feel like supporting and promoting our musicians..hata Ali hapa hapakiwepo na promo ya nguvu mm nlisokia ju kwa ju tu inasikitisha maana wanajituma sana
 
Huwa ni muelewa mnaweza hata kuelewa kihoja tofauti na wengine mweeeh. Yani wengine hadi roho zinataka kuwachomoka mweeeeh.

Hahahahaa, halafu yeye walaaa akaongea yake ya rohoni.
Nimemkubali jamaa.
Shoga twende tukamuangalie Membe bwana, tuone sera zake.
 
Icon wa Tanzania Diamond Platinumz kachaguliwa n wasomi sasa nyie mlioishia O level n darasa LA 7 endeleni kubisha kuwa Diamond sio icon n number one artist wa Tanzania
 
Jana nilijipa mda kusikiliza cheketua na nana.. kiukweli kiba ni kipaji cha hali ya juu. Kwa mfano chukua wimbo wa mapenzi yanarun dunia huwezi fananisha na wimbo wowote wa dai. Ujanja wa diamond ni kucheza na media (tv, radio, mitandao nk) vzr, show nzuri (dai kwa kucheza ni hatari), mameneja wanaoangalia kila fursa, kuwekeza pesa nyingi kujibrand (ana mpiga picha, mlinzi, dj, pia na zari).. alivyojibrand inabidi promota zimtoke hela nyingi.
Nahitimisha kwa kusema kuwa Kiba arekebishe makosa yake na kuanza upya. Aache uswahili maana yeye ana thamani ya juu sana. Alipo ss hivi sio panapomfaa.

Ni kweli hata ligi ya La Liga ni bora kuliko Epl. Lakini ushajiuliza kwanini Epl inaingiza pesa nyingi na ni maarufu kuliko La liga? Ndio kinachotokea kwa hawa jamaa wawili.
 
acha kudanganya umma,kiba yupo south kaenda kushoot "chekecha".hiyo ya US ni yako,au unataka kudrive attention ili kumpaisha mpiga shoo za wilayan kaenda US.punguza viroba
 
acha kudanganya umma,kiba yupo south kaenda kushoot "chekecha".hiyo ya US ni yako,au unataka kudrive attention ili kumpaisha mpiga shoo za wilayan kaenda US.punguza viroba

Hahahaaaa wew utakuw umetoka kijijini jana.
 
Huyu ndo kiba sasa katika ubora wake...
 

Attachments

  • 1433668831112.jpg
    1433668831112.jpg
    30.7 KB · Views: 213
acha kudanganya umma,kiba yupo south kaenda kushoot "chekecha".hiyo ya US ni yako,au unataka kudrive attention ili kumpaisha mpiga shoo za wilayan kaenda US.punguza viroba

Soma caption usije ukawa we ndio umekunyw a viroba lol
 

Attachments

  • 1433668714525.jpg
    1433668714525.jpg
    51.7 KB · Views: 223
Tupo hapa maryland-MD us tunaenda kumsupport Alikiba the king..kwa kweli mm sio mtu wa show sana lakini naenda tu ili kumsupport Ali-wanamziki wetu wanajituma lakini jasho lao linaenda bure tu.Inasikitisha mno..Lakini pamoja na hatua nyingine wabongo tujenge utamaduni wa kuwasupport wanamziki wetu.Haya wabeba box wa MD tukutane kwa Ali na huko home ntawaletea kilichojiri pamoja na picha kali kali.


Tupe full address.....
 
Umeona eeh!! HehehWao wakipondea eti changamoto ila sie sasa mweeeh utadhani mtu kuchukua tuzo ndo kuwa malaika!Kuna jimama moja huwa nalideku tu....mwanzoni lilikuwa linasema oooh mi nawasupport wote, dai akifanya vizuri na sifia na Kiba akifanya vizuri nasifikia na kwenye kukosoa nawakosoa wote......mfyuuuu kiko wapi sasa??!! Now kila day linamponda Kiba.....yaani katika malupelupe yasojielewa lile namba moja wallah linalopoka ka jehu vile hahahaaa uwiiii nachekaga sana nikikutana na comment yake!

Hizo ni kelele za chura tu, yaani kiba hawakauki midomoni as if ndiye mwanamuziki pekee tz, alafu wamekazanaaa eti local, sasa km washajua ni local why the energy??? Waimbe na wao basi wawe intaneshino, nyambaaaaafu!!
 
Back
Top Bottom