Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Nyie team ndomo sijui domo...
Whoever did this na anaeendelea kufanya upuuzi huu may yu stop it pliiz??? Dis z not fair kama mnajiamin cmtengeneze mabango yenu na code zenu????? Why r yu using da image ya #KingKiba for yo own benefits?????? Aiiiseeee tengezeni mabango yenye picha zenu na code zenu co kupotosha watu kijingaaa
Hey teamkiba the strongest team naomba msidanganyike kirahisiii iviii hawa wanatumia jina la king kupiga promo zao wenyewe hizo sio code zetu code zetu ni hiziiii 👇👇👇👇👇👇
AB1
BB1
FB1
AH1
DA4
GA3
AL4
👆👆👆👆👆👆
Naomba tusiwape nafasi ya kututumia kirahisi iviiii
Ikiwezekana repost n share ujumbe huu ili watu wasidanagnyike kiiviii.....Hope tutashirikiana kwa hiliii #teamkiba the strongest team ever
#Kwa_Pamoja_Tunaelekea_Kushinda
Cc nifah, Diva Beyonce, atoto Ms.Lincoln unanitaka, Matola, Avemaria [MENTION=194098][/MENTION] na all kiba fans

Hii kitu niliiona na nikaona inakemewa sn, duuuh this is too much sasa, ila pia siwashangai sana hao watu, akili zao ukipewa hata sekunde huwezi ishi nayo!!
 
Last edited by a moderator:
Jamani leo nimefanikisha zoezi la kupiga kura on line..
Ni rahisi sana Jamani leo nimefanikisha zoezi la kupiga kura on line..
Ni rahisi sana www.ktma.co.tz alafu utajiregister namba yako ya simu itakuwa ivi.
 

Attachments

  • 1433229782937.jpg
    1433229782937.jpg
    26.9 KB · Views: 84
Apo kwenye vitengo uki click wanakuletea option una select tuu
 

Attachments

  • 1433229828333.jpg
    1433229828333.jpg
    28.5 KB · Views: 75
Ukituma watakuletea huu ujumbe alafu unachagua tena
Make sure unaandika no ya simu ambayo hujaipigia kura.
Fanya mara nyingi uwezavyo
#pamoja tunawakilisha
#king kiba forever
 

Attachments

  • 1433229901054.jpg
    1433229901054.jpg
    26.9 KB · Views: 82
Wa wapi huyo nae....Insta or??
Tumuibukie huko huko!

Hapo boss atakuwa kawaambia wafanye lolote liwezekanalo ili apate kura nyingi!

Nyie team ndomo sijui domo...
Whoever did this na anaeendelea kufanya upuuzi huu may yu stop it pliiz??? Dis z not fair kama mnajiamin cmtengeneze mabango yenu na code zenu????? Why r yu using da image ya #KingKiba for yo own benefits?????? Aiiiseeee tengezeni mabango yenye picha zenu na code zenu co kupotosha watu kijingaaa
Hey teamkiba the strongest team naomba msidanganyike kirahisiii iviii hawa wanatumia jina la king kupiga promo zao wenyewe hizo sio code zetu code zetu ni hiziiii 👇👇👇👇👇👇
AB1
BB1
FB1
AH1
DA4
GA3
AL4
👆👆👆👆👆👆
Naomba tusiwape nafasi ya kututumia kirahisi iviiii
Ikiwezekana repost n share ujumbe huu ili watu wasidanagnyike kiiviii.....Hope tutashirikiana kwa hiliii #teamkiba the strongest team ever
#Kwa_Pamoja_Tunaelekea_Kushinda
Cc nifah, Diva Beyonce, atoto Ms.Lincoln unanitaka, Matola, Avemaria [MENTION=194098][/MENTION] na all kiba fans
 
Last edited by a moderator:
Hata mimi nilihisi jambo kama hilo.Ngoja nitapiga kwa kutumia simu ya dogo.

Kwenye miss world na wao walisema wanatrace lakini matokeo yake ilikuwaje jamani kama si watimanywa kushika na 2?

Mi siwezi kupiga kura moja na zote nitazopiga lazima zihesabike wamenigomea kwa zantel na watsApp ila kwengine manjonjo lazima hata wakitrace wanajisumbua....huku watakuta mage wa Arusha, kwengine Anitha wa kigoma, pengine Nathalia wa Benaco, wakichimba sana watakutana na Lora wa Kampala! Ohooo akili kumkichwa
 
Kwenye miss world na wao walisema wanatrace lakini matokeo yake ilikuwaje jamani kama si watimanywa kushika na 2?

Mi siwezi kupiga kura moja na zote nitazopiga lazima zihesabike wamenigomea kwa zantel na watsApp ila kwengine manjonjo lazima hata wakitrace wanajisumbua....huku watakuta mage wa Arusha, kwengine Anitha wa kigoma, pengine Nathalia wa Benaco, wakichimba sana watakutana na Lora wa Kampala! Ohooo akili kumkichwa

Hahaaaaa! Safi sn
 
Yeah line zote jina ni moja, kwahiyo ndio siruhusiwi tena kupiga kura? Maana tokea jana ndio kwanza naanza kupiga kura najibiwa nishapiga kura nikachoka mwili na roho

Kipindi cha mwazo kura zilikuwa zinaenda tu hata kwa line tofauti zenye jina moja labda saa hizi wameshtuka.

Hata hivyo usihofu, chukua simu ya/za dogo weka jero piga kura kisha hamia kwa maza au yeyote yule tia jero then piga kura.
Usihofu hasara.....kama ukimuwekea mtu afu ukakuta keshapiga hamisha salio lako kisha endelea na biznee zingine
 
Hv diamond karud kutoka nje ya Tz na vp kiba kasafiri keenda SA maana kumetengamaa sasa mwambie ile ya UNANA inasumbua sana kitaa, basi nae kiba atoe sasa bado tu
 
Kipindi cha mwazo kura zilikuwa zinaenda tu hata kwa line tofauti zenye jina moja labda saa hizi wameshtuka.

Hata hivyo usihofu, chukua simu ya/za dogo weka jero piga kura kisha hamia kwa maza au yeyote yule tia jero then piga kura.
Usihofu hasara.....kama ukimuwekea mtu afu ukakuta keshapiga hamisha salio lako kisha endelea na biznee zingine

Leo nimedaka simu ya mtu nikapiga kura kumbe yeye team ndomo akaja kukutana na sms tu acha animind, na bahat nzuri alikuwa hajapiga kura, nimechekaje
 
Hahaaaaa! Safi sn

Yaani mie nimejitolea hasa na nimedhamiria kudondosha kura kama utitiri.

But nimepata wazo kwamba itafikia kipindi hata accounts mpya za mitandaoni na line mpya wataziminyia hivyo nimeshasajili line kabisa nimeziacha zitumike kwanza na acc fb natumia mwenyewe zimeshajaza na friends........nasubirishia siku mbili tatu hivi navote tena. Hao wanaotrace watu mbona watachemka na hivi huo nasafiri safiri......watasubiri sana mie kura yangu kuharibika!

Mmmmhhhh ngoja nimezee mengine nisije nikawaongezea hao waandaaji mbinu za kutuminyia kura zetu.
 
Leo nimedaka simu ya mtu nikapiga kura kumbe yeye team ndomo akaja kukutana na sms tu acha animind, na bahat nzuri alikuwa hajapiga kura, nimechekaje

Saaafiiii!!!
Hao ndo mashabiki uchwara tunaotakiwa tuwaoneshe kazi......ye alikuwa wapi siku zote hizo?!! Heheh ndo ishatoka hiyo masikini
 
Saaafiiii!!!
Hao ndo mashabiki uchwara tunaotakiwa tuwaoneshe kazi......ye alikuwa wapi siku zote hizo?!! Heheh ndo ishatoka hiyo masikini

Yaani nimecheka leo, alimind hatari nikamwambia tu pole maana kura king ndio ashapata hivyoo
 
Wakiku trace kura itakayo hesabika ni moja tuu...maana wanajua fika watu watafanya hivyo pia code ya simu,jina la mtu,location...! ...

Simu yangu imetumika kwa vote moja tu na pc imetumika kwa acc moja tu ya fb.
Nilijaribu kurudia kwa line ya zantel msg zikawa haziendi nikahisi labda wao hawamo kwenye hiyo huduma ila baadae bhana wazo likanijia nijaribu kupiga tena kwa line ya mwanzo ikarudisha msg kuwa nishapiga kura.....dadeeekiii only sky is the limit siwezi nikavote once mie ndo nikapata wazo la kufanya unkanjanja!
Labda wasense vidole....LOL!
 
Back
Top Bottom