naona instagram...cabosnoopy mzee wa prakatumba akililia colabo na alikiba...
Ungetuletea japo ka screen shot bwana, maneno matupu hayanogi!
Hata hivyo asante kwa habari maana si haba.
abou hujambo? Ulipotelea wapi?
Kama hivi
Naam.....
Natumaini moyo wako umetulia
Natumaini moyo wako umetulia
ngoma na wizkidayo lini hiyo...naisi kama bonge la supprise hivi linakuja...and i cant wait
Ndio hivyo mambo ya Kiba hua hapendi kuanika mambo yake.
Ipo siku watu watashinda ndani week na JF watakua wanaingia kama guests kutokana na mabalaa atakayoyafanya King.
King kiba anaachia video soon ya chekechaaaaaaaa
Na itokeeee, tunaisubiri kwa hamu sana.
Tetesi zinasema ni video 2...moja kolabo matata....daaahvitu anavyovifanya chini ya kapeti ni vikubwa sana mpk watu wake wa karibu wanashindwa kuvumilia wanajikuta wameongea kutokana na matusi ya insta...
Tetesi zinasema ni video 2...moja kolabo matata....daaahvitu anavyovifanya chini ya kapeti ni vikubwa sana mpk watu wake wa karibu wanashindwa kuvumilia wanajikuta wameongea kutokana na matusi ya insta...
Hahahahaaa.....can't wait kwakweli.
Vitu flani hivi location
Vitu flani hivi location
Mwambie Kiba tunapandwa hadi kwenye mav.uzo huku