mwasipenjele
JF-Expert Member
- Jun 2, 2012
- 770
- 451
mwambien asije rudia aliyo fanya kwenye mwana dar😱
mwambien asije rudia aliyo fanya kwenye mwana dar😱
Vitu flani hivi location
mwambien asije rudia aliyo fanya kwenye mwana dar😱
Ndio hivyo mambo ya Kiba hua hapendi kuanika mambo yake.
Ipo siku watu watashinda ndani week na JF watakua wanaingia kama guests kutokana na mabalaa atakayoyafanya King.
Hahahaahah kama nawaona watoka povu, video tatu ndani Ya mwezi na zote za kawaaaaidaaaaa! Anajitahid kuzipromoti lakin zinadoda tu
Hahahaahah kama nawaona watoka povu, video tatu ndani Ya mwezi na zote za kawaaaaidaaaaa! Anajitahid kuzipromoti lakin zinadoda tu
Hahahahaaa wewe ngoja tu tutajionea vituko mwaka huu.
Hahahaahah kama nawaona watoka povu, video tatu ndani Ya mwezi na zote za kawaaaaidaaaaa! Anajitahid kuzipromoti lakin zinadoda tu
People busy kumtazama king
People busy kumtazama king
People busy kumtazama king
Safi sana good move.
Mautamu
Dah kweli mfalme ni mfalme tu, sio zile video 2 zilizochuja kwa siku 3 khaaaaah
Eeh bwana eeh....
Mwana dar iko poa sana video safi, tatizo ushamba umekujaa unataka kitu kinachoimbwa ndo kionekane
Hahaaa walikua wanadai hana hela ya ku shoot video. Sasa ku release mbili hakujazipa video kupata airtime na watu wamezizoea.
Unadhani watakosa la kusema?? Subiri utasikia "kapanik" hahaaaaaaa watu bwana!