Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Yeah line zote jina ni moja, kwahiyo ndio siruhusiwi tena kupiga kura? Maana tokea jana ndio kwanza naanza kupiga kura najibiwa nishapiga kura nikachoka mwili na roho

Duh, pole sana bibie.
Hata sina uhakika mwaya kuhusiana na hilo.Tungoje labda kuna wanaojua zaidi.
 
Yeah line zote jina ni moja, kwahiyo ndio siruhusiwi tena kupiga kura? Maana tokea jana ndio kwanza naanza kupiga kura najibiwa nishapiga kura nikachoka mwili na roho

mi nimepiga mara 2 na zote nimesajili line yangu
 
Mimi nina line mbili that's why.Kama leo nimepiga kwa airtel...
Fanya hivyo na wewe, nimepiga kwenye vipengele vyote 7 tena kwa mia 5 tu na salio limebaki.

Wakiku trace kura itakayo hesabika ni moja tuu...maana wanajua fika watu watafanya hivyo pia code ya simu,jina la mtu,location...! ...
 
mi nshapiga kwenye line mbili tofauti na nimesajili jina langu
au ktma wana mpango wa kubana kura zetu

Hiyo ita hesabika moja..wanakuacha tuu lakini wana hesabu kura moja....!

Manager wa Auditax inayo simamia kura alisema kuwa mtu anaweza fikiri amepiga mara kumi lakini ni mara moja ...maana wana mfumo wa kutrack na kutrace na kuangalia code ya simu hivyo hata ukipiga mara kumi kura wanayo hesabu ni moja!

Alisema pia mwaka huu watu wamevunja record kwa kupiga kura na wangekuwa wana hesabu kura zaidi ya moja ingekuwa ni balaa zaidi maana mhamko ni mkubwa sana!
 
Sasa mimi sijui shida ni nini kwakweli, kila nikipiga jibu ni the same, ushapiga kura hata kama sijapiga

Si ushapiga moja ama miTZ akili mbovu yaan mtu anapiga kura 4 kwa kipengele hii si haki na ni ujinga kabisa nauona ktk maisha yang anyway simple minded hivi ndo wanavofkiri km ipo ipo tu haiba haja ya kutumia njia zisizo na busara wala haki
 
Hiyo ita hesabika moja..wanakuacha tuu lakini wana hesabu kura moja....!

Manager wa Auditax inayo simamia kura alisema kuwa mtu anaweza fikiri amepiga mara kumi lakini ni mara moja ...maana wana mfumo wa kutrack na kutrace na kuangalia code ya simu hivyo hata ukipiga mara kumi kura wanayo hesabu ni moja!

Alisema pia mwaka huu watu wamevunja record kwa kupiga kura na wangekuwa wana hesabu kura zaidi ya moja ingekuwa ni balaa zaidi maana mhamko ni mkubwa sana!

Mtani kwahiyo hata kwenye simu tunatakiwa kupiga kura mara moja tu?? Yaani ukishapiga mfano leo ndio basi tena hupigi tena??
 
Si ushapiga moja ama miTZ akili mbovu yaan mtu anapiga kura 4 kwa kipengele hii si haki na ni ujinga kabisa nauona ktk maisha yang anyway simple minded hivi ndo wanavofkiri km ipo ipo tu haiba haja ya kutumia njia zisizo na busara wala haki

We nawe sijui umekurupukia wapi shosti!!! Viroba vyako kanywee mbele huko, eti simple minded my ass, nhfddjgdtuyhgdsshj yako weee!
 
We nawe sijui umekurupukia wapi shosti!!! Viroba vyako kanywee mbele huko, eti simple minded my ass, nhfddjgdtuyhgdsshj yako weee!

Ukwel kuukubal mgumu anyway sina nia ya ugomvi wala mabishano kwan kila mtu analelewa na tabia za wazaz wake na hata akipata mtu kumfundisha hatakubal. Nimekufahamisha kuwa kura moja yako inatosha kwa kipengele kimoja huo unaofanya ni ujinga na ni dhambi na mwanzo wa udhulumu hutaridhika na mpaka udhulumu mm huwa sistaajabu kuskia tz kila mtu fisadi anadhulumu sistaajabu kwan na ww unageuka fisadi kwenye kura ambacho ni kitu kidogo tu? Je upewe kitengo benki kuu? Nafkiri umenifaham take it or leave it. aliyeiba hela za escrow alianza km ww. Simple minded can't answer the question with facts they will answer with idiotics idea. Haya kalale
 
Ukwel kuukubal mgumu anyway sina nia ya ugomvi wala mabishano kwan kila mtu analelewa na tabia za wazaz wake na hata akipata mtu kumfundisha hatakubal. Nimekufahamisha kuwa kura moja yako inatosha kwa kipengele kimoja huo unaofanya ni ujinga na ni dhambi na mwanzo wa udhulumu hutaridhika na mpaka udhulumu mm huwa sistaajabu kuskia tz kila mtu fisadi anadhulumu sistaajabu kwan na ww unageuka fisadi kwenye kura ambacho ni kitu kidogo tu? Je upewe kitengo benki kuu? Nafkiri umenifaham take it or leave it. aliyeiba hela za escrow alianza km ww. Simple minded can't answer the question with facts they will answer with idiotics idea. Haya kalale

Stress zako peleka mbele huko na magazeti yako, who told you nahitaji ushauri wako usokuwa na miguu wala kichwa huo, hv kwa mfano ungeeleza vzr tu km alivyoeleza rutta ungepungukiwa nn, au ndio unataka uonekane unajua sn? Ovyooooooo, ptuuuuu!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom