Ukwel kuukubal mgumu anyway sina nia ya ugomvi wala mabishano kwan kila mtu analelewa na tabia za wazaz wake na hata akipata mtu kumfundisha hatakubal. Nimekufahamisha kuwa kura moja yako inatosha kwa kipengele kimoja huo unaofanya ni ujinga na ni dhambi na mwanzo wa udhulumu hutaridhika na mpaka udhulumu mm huwa sistaajabu kuskia tz kila mtu fisadi anadhulumu sistaajabu kwan na ww unageuka fisadi kwenye kura ambacho ni kitu kidogo tu? Je upewe kitengo benki kuu? Nafkiri umenifaham take it or leave it. aliyeiba hela za escrow alianza km ww. Simple minded can't answer the question with facts they will answer with idiotics idea. Haya kalale