Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Stress zako peleka mbele huko na magazeti yako, who told you nahitaji ushauri wako usokuwa na miguu wala kichwa huo, hv kwa mfano ungeeleza vzr tu km alivyoeleza rutta ungepungukiwa nn, au ndio unataka uonekane unajua sn? Ovyooooooo, ptuuuuu!

Watu wana mipasho eeh kura tu zinamtoa roho yanini? Si ukatafute mtu akakunanihii. ......... Hata mie naweza aunty
 
Last edited by a moderator:
#AliKiba si mwanamuziki, period. Hajuwi kuimba ila ana sauti nzuri ambayo itamsaidia akijiunga na bendi ila fleva anajisumbua tu.
 
We nawe sijui umekurupukia wapi shosti!!! Viroba vyako kanywee mbele huko, eti simple minded my ass, nhfddjgdtuyhgdsshj yako weee!

Bora umemjibu nilijua utamkopesha kopesha.
Mama kura zote ikishakurudishia jibu kuwa imepokelewa iyo imefika na ita hesabiwa
 
Ukwel kuukubal mgumu anyway sina nia ya ugomvi wala mabishano kwan kila mtu analelewa na tabia za wazaz wake na hata akipata mtu kumfundisha hatakubal. Nimekufahamisha kuwa kura moja yako inatosha kwa kipengele kimoja huo unaofanya ni ujinga na ni dhambi na mwanzo wa udhulumu hutaridhika na mpaka udhulumu mm huwa sistaajabu kuskia tz kila mtu fisadi anadhulumu sistaajabu kwan na ww unageuka fisadi kwenye kura ambacho ni kitu kidogo tu? Je upewe kitengo benki kuu? Nafkiri umenifaham take it or leave it. aliyeiba hela za escrow alianza km ww. Simple minded can't answer the question with facts they will answer with idiotics idea. Haya kalale

Kwendraaaaaa uko.
Unajidai mlokole sana na unajua sana dhambi?? Wew huzinigi wew? Hiyo sio dhambi? Ebe chapa malapa uondoke na miguu yako iliyo yote ya kushoto.
Unapenda dini kaanzish kanisa lako na unapenda uzalendo kaanzishe nchi yako
 
Watu wana mipasho eeh kura tu zinamtoa roho yanini? Si ukatafute mtu akakunanihii. ......... Hata mie naweza aunty

Yaani kila lijinga linalokuja uku kwenye king family inazunguka mbuyuu lakini mwisho wa siku ni papuch anaomba...
Kabake beberu nyooooko wew. Ulichoona dhambi ni kupiga kura mara 2 unzinzi sio dhambi? Umeoza na ndo maana nasikia harufu chafu.
 
Bora umemjibu nilijua utamkopesha kopesha.
Mama kura zote ikishakurudishia jibu kuwa imepokelewa iyo imefika na ita hesabiwa

Sijui alikurupukia wapi mwanaharamu yule looh!! Angetoa tu ushauri vzr asingeeleweka mpaka ajitie ujuaji??
Hapa cha msingi ni kutumia simu tofauti i think, na line zilizosajiliw tofauti km wanatrace
 
Si ushapiga moja ama miTZ akili mbovu yaan mtu anapiga kura 4 kwa kipengele hii si haki na ni ujinga kabisa nauona ktk maisha yang anyway simple minded hivi ndo wanavofkiri km ipo ipo tu haiba haja ya kutumia njia zisizo na busara wala haki

Join Date : 27th March 2015
Posts : 22
Rep Power : 314
Likes Received
2
Likes Given
0
Mtahangaika sana
 
Yaani kila lijinga linalokuja uku kwenye king family inazunguka mbuyuu lakini mwisho wa siku ni papuch anaomba...
Kabake beberu nyooooko wew. Ulichoona dhambi ni kupiga kura mara 2 unzinzi sio dhambi? Umeoza na ndo maana nasikia harufu chafu.

Najiuliza hv kila asiye fan wa Kiba anayeingia humu ukitoa mtani wangu rutta mbona akili zao zinafanana??? Duuuh na bado mbona huu mwanzo tu
 
Sijui alikurupukia wapi mwanaharamu yule looh!! Angetoa tu ushauri vzr asingeeleweka mpaka ajitie ujuaji??
Hapa cha msingi ni kutumia simu tofauti i think, na line zilizosajiliw tofauti km wanatrace

Hamna kitu kama icho mamy.
Mimi nishapeleleza na nina mtu pale ameniambia kura ikishaingia imeingia otherwise labla kama haijakurudishia majibu..
Ingekuwa ni ivyo wangekuwa wanakutumia ujumbe kuwa haruhusiwi kurudia.
Keep on voting mamy
 
Hamna kitu kama icho mamy.
Mimi nishapeleleza na nina mtu pale ameniambia kura ikishaingia imeingia otherwise labla kama haijakurudishia majibu..
Ingekuwa ni ivyo wangekuwa wanakutumia ujumbe kuwa haruhusiwi kurudia.
Keep on voting mamy

Hiviii ni kura moja per day au ukishavote maramoja ndio kwishney mana nashindwa kuelewa hapo
 
Back
Top Bottom