Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Hongera, kura yako kwa Wimbo bora wa Mwaka - MWANA -ALI KIBA imepokelewa na AUDITAX INTERNATIONAL.

Hongera, kura yako kwa Mwimbaji bora wa kiume - Bongo Fleva - ALI KIBA imepokelewa na AUDITAX INTERNATIONAL

Hongera, kura yako kwa Mtunzi bora wa mwaka - Bongo Fleva - ALI KIBA imepokelewa na AUDITAX INTERNATIONAL
 
Hivi kwa whatsapp inapigika kweli

Sijajua vizuri, ila sisi kamaa Kiba fans wenzio tunashukuru kwa kupiga kwako kura ili kumuwezesha King kuibuka mshindi.
Ngoja waje wengine watusaidie mimi nilishapiga kwa WhatsApp ile siku ya kwanza tu walivyotangaza.
 
Jamani kuna mtu kaanzisha uzi kule anamsifia mtu mwingine, twendeni tukaone.
 
Hata mimi nilihisi jambo kama hilo.Ngoja nitapiga kwa kutumia simu ya dogo.

Na mtu ili apige mara zaidi ya moja lazima atumie simu tofauti na pia line tofauti na pia unatakiwa kuchange location unapo taka kutuma Sms...!
Kwa whatsapp line zimefungwa.
 
Join Date : 27th March 2015
Posts : 22
Rep Power : 314
Likes Received
2
Likes Given
0
Mtahangaika sana

Hahaha joining date isikusumbue naweza kuwa mwenyeji humu kuliko ww ni jambo la kujiheshimu tu
 
Kwendraaaaaa uko.
Unajidai mlokole sana na unajua sana dhambi?? Wew huzinigi wew? Hiyo sio dhambi? Ebe chapa malapa uondoke na miguu yako iliyo yote ya kushoto.
Unapenda dini kaanzish kanisa lako na unapenda uzalendo kaanzishe nchi yako

Ukwel utabak kuwa ukwel na jengine sina dhambi ya udhinifu ktk maisha yang nlichomwambia huyo aunty ni utani tu sina haja ya kujisumbua na mijiradhi na sijawah kuzini na hata kutembea na mtu mwengne najichunga kwa ajili ya mke wang ndo nlivofundishwa kuishi kwamba nichukie kwa lile ambalo nkifanyiwa mm nachukia
 
Sijui alikurupukia wapi mwanaharamu yule looh!! Angetoa tu ushauri vzr asingeeleweka mpaka ajitie ujuaji??
Hapa cha msingi ni kutumia simu tofauti i think, na line zilizosajiliw tofauti km wanatrace

Kujua au kutojua ni dhana ya kwako mm nimekufahamisha tu kwann mupige kura mia mia? Hata akipata tunzo na kucheka mnajisuta wenyen ushind wa hila? Sifkirii km atashinda kwa dizain hizi ikumbuke post yang hatoshinda mnavotaka kwa ujinga huu
 
Ukwel utabak kuwa ukwel na jengine sina dhambi ya udhinifu ktk maisha yang nlichomwambia huyo aunty ni utani tu sina haja ya kujisumbua na mijiradhi na sijawah kuzini na hata kutembea na mtu mwengne najichunga kwa ajili ya mke wang ndo nlivofundishwa kuishi kwamba nichukie kwa lile ambalo nkifanyiwa mm nachukia

Poa....
 
Nyie team ndomo sijui domo...
Whoever did this na anaeendelea kufanya upuuzi huu may yu stop it pliiz??? Dis z not fair kama mnajiamin cmtengeneze mabango yenu na code zenu????? Why r yu using da image ya #KingKiba for yo own benefits?????? Aiiiseeee tengezeni mabango yenye picha zenu na code zenu co kupotosha watu kijingaaa
Hey teamkiba the strongest team naomba msidanganyike kirahisiii iviii hawa wanatumia jina la king kupiga promo zao wenyewe hizo sio code zetu code zetu ni hiziiii 👇👇👇👇👇👇
AB1
BB1
FB1
AH1
DA4
GA3
AL4
👆👆👆👆👆👆
Naomba tusiwape nafasi ya kututumia kirahisi iviiii
Ikiwezekana repost n share ujumbe huu ili watu wasidanagnyike kiiviii.....Hope tutashirikiana kwa hiliii #teamkiba the strongest team ever
#Kwa_Pamoja_Tunaelekea_Kushinda
Cc nifah, Diva Beyonce, atoto Ms.Lincoln unanitaka, Matola, Avemaria [MENTION=194098][/MENTION] na all kiba fans
 

Attachments

  • 1433220162218.jpg
    1433220162218.jpg
    17.7 KB · Views: 76
Last edited by a moderator:
Yani hawa mandorobo hawajiamini mpaka waombe kura kupitia kiba??? Si.walijifanya wao intaneshino au. Domo usione aibu bana wewe kama unataka sapoti mwombe tu kiba atakupa gwala:sio kumuibia code zake, huu ni wizi hop management wataliona hili.
 
Ukwel utabak kuwa ukwel na jengine sina dhambi ya udhinifu ktk maisha yang nlichomwambia huyo aunty ni utani tu sina haja ya kujisumbua na mijiradhi na sijawah kuzini na hata kutembea na mtu mwengne najichunga kwa ajili ya mke wang ndo nlivofundishwa kuishi kwamba nichukie kwa lile ambalo nkifanyiwa mm nachukia

Koh koh koh koh!
Koh koh koh!
Hakika wewe ni mfano wa kuigwa
 
Yani hawa mandorobo hawajiamini mpaka waombe kura kupitia kiba??? Si.walijifanya wao intaneshino au. Domo usione aibu bana wewe kama unataka sapoti mwombe tu kiba atakupa gwala:sio kumuibia code zake, huu ni wizi hop management wataliona hili.

Sitaki nataka
 
Hongera, kura yako kwa Wimbo bora wa Mwaka - MWANA -ALI KIBA imepokelewa na AUDITAX INTERNATIONAL.

Hongera, kura yako kwa Mwimbaji bora wa kiume - Bongo Fleva - ALI KIBA imepokelewa na AUDITAX INTERNATIONAL

Hongera, kura yako kwa Mtunzi bora wa mwaka - Bongo Fleva - ALI KIBA imepokelewa na AUDITAX INTERNATIONAL

Ujinga mtupuuu... Hamumsaidii
 
Back
Top Bottom