Mi shabiki wa kiba wa ukweli ila naomba kuwa muwazi kwa hili: Ally Kiba anazingua angekuwa anajitmbua angekuwa mbali sanaaaaaa...zaidi ya domo Diamond kipesa na kila kitu kwa kifupi angekuwa kama PSquare maana Mfalme R kelly alishamfungulia njia ambayo ilikuwa kuiendeleza ktk One8 Wasanii wa Africa kufanya kazi na R kelly, lakini Ally kiba kabweteka na sifa za mashabiki wa nyumba badala ya kuvuka maboda ya Africa anakalia kusubili Zari lingine kama litajirudia, Menejiment yako haifikirii wala kumshauri vizuri, Alie karibu nae amfikishie ujumbe huu amwambie asipoamka na kujipanga upya ye na menejiment yake wataishia hapa hapa nyumbani wakati domo asie na lolote mbele ya kiba akipiga mkwanja mnene nakuzidi kuvuka maboda kila kukicha.