Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Hili jukwaa special kwa kiba??? Au? Mana naona domo kavamia humu na kukimbia uzi wake unaomhusu. Hizi ni dalili za kutojiamini kwamba kila kitu anachofanya inabidi atoe taarifa kwa rival wake. Mbona mwana dar es salama katulia tu.
 
Ooh Mara huo mduara utackika tz mduara huo Nigeria ushafika

Vyanzo vya uhakika vinasema kahonga ili walau aonekane kwenye chati huko, domo bila davido hamna kitu, hahhaha ye keshakariri kuwa ili utoke kimuziki inabid uende nigeria hahaha mbona atawamaliza wote lakin atapiga pua kama ilivyokuwa kwa nyimbo zake na iyanya na bracket, waje, etc
 
Ooh Mara huo mduara utackika tz mduara huo Nigeria ushafika

Hivi na ile yakwetu ya cheketua imeshika namba ngpi huko kweny hizo chat za watu wa mataifa? ?
maana hapa bongo imekimbiza.....
 
Vyanzo vya uhakika vinasema kahonga ili walau aonekane kwenye chati huko, domo bila davido hamna kitu, hahhaha ye keshakariri kuwa ili utoke kimuziki inabid uende nigeria hahaha mbona atawamaliza wote lakin atapiga pua kama ilivyokuwa kwa nyimbo zake na iyanya na bracket, waje, etc

Haaah muambie n kiba ahonge umeckia coco yaan we ujui hata mziki coco halafu nyimbo n bracket sio ya diamond alishirikishwa hata ya waje alipewa collabo sio yke sasa ndo ujue hadi bracket n waje wakaamua kumshirikisha walifikiria nn
 
Wasanii walioshiriki kwny hii video diamond n Vanessa tz, Sean tizzle, iyanya, praiz, bracket, mr flavour Nigeria, Donald n a.k.a south africa #sanko INA bidi mkubali jamaa yupo international now checki hata vituo km MTV , afro pop n sound city wakivyoipokea video am out

Mbona majina ya kawaida tu hayo, hahaha! Kiba alishakuwa kwenye kundi kama hilo kwenye one africa, nothing new mrembo.
 
Hivi na ile yakwetu ya cheketua imeshika namba ngpi huko kweny hizo chat za watu wa mataifa? ?
maana hapa bongo imekimbiza.....

Sisi ni local mzee, heshima nyumbani, hatuna haraka wala papara
 
Haaah muambie n kiba ahonge umeckia coco yaan we ujui hata mziki coco halafu nyimbo n bracket sio ya diamond alishirikishwa hata ya waje alipewa collabo sio yke sasa ndo ujue hadi bracket n waje wakaamua kumshirikisha walifikiria nn

Hahaaaaaahaaaaa ameshirikishwa, hajashirikishwa nyimbo zimepiga puaaaaa. Sasa kama kashirikishwa mbona promo zilikuwa nyingi kutoka kwa domo, vipi na ule aloimba na iyanya pia alishirikishwa???? Haaaaaaaahaaaaa
 
Hili jukwaa special kwa kiba??? Au? Mana naona domo kavamia humu na kukimbia uzi wake unaomhusu. Hizi ni dalili za kutojiamini kwamba kila kitu anachofanya inabidi atoe taarifa kwa rival wake. Mbona mwana dar es salama katulia tu.

Ukiona hivyo ujue kafunikwa ndio maana hata huu uzi unamjadil dai kuliko mwenye uzi mwenyewe
 
Hahaaaaaahaaaaa ameshirikishwa, hajashirikishwa nyimbo zimepiga puaaaaa. Sasa kama kashirikishwa mbona promo zilikuwa nyingi kutoka kwa domo, vipi na ule aloimba na iyanya pia alishirikishwa???? Haaaaaaaahaaaaa

Ha ha promo kama kawa hutaki andamana..
Kitu kizuri hafanyiwi promo na makombo..
 
Kumbe ushasema alishawahi vp sasa ivi coco kiba yupo wapi

Hahhhahaha unajifanya hujui yuko wapi??? Wakati kutwa kucha uko jukwaani kwake ukimchungulia???! Bila kiba hata wewe mkono hauendi kinywani, hapa unanishukuru kweli mana kwa kujiquote tu, unapata buku saba kutoka kwa domo haaaaaahaaaaaaa
 
Mkuu ubora wa dushelele huezi fananisha na cheketua..labda uwe unajipa moyo tuu
That is facts...andamana

Ni kama usivyoweza fananisha ngololo ya davido na domo na the rest of nyimboz anazofyatua sasa hahahahhhahaha hiyo ni fact hamtaki andamaneni
 
Hahaaaaaahaaaaa ameshirikishwa, hajashirikishwa nyimbo zimepiga puaaaaa. Sasa kama kashirikishwa mbona promo zilikuwa nyingi kutoka kwa domo, vipi na ule aloimba na iyanya pia alishirikishwa???? Haaaaaaaahaaaaa

Tatizo lako unangalia sn TBC hata km kwenu hamna dstv embu jaribu hata kufatilia chati za nje ya tz ujue diamond yupo wapi we umeckia coco
 
Hahhhahaha unajifanya hujui yuko wapi??? Wakati kutwa kucha uko jukwaani kwake ukimchungulia???! Bila kiba hata wewe mkono hauendi kinywani, hapa unanishukuru kweli mana kwa kujiquote tu, unapata buku saba kutoka kwa domo haaaaaahaaaaaaa

Yaan we akili yko imekaa kutoa rushwa always yaan but whyyyyy :what: kila kitu Diamond kahonga so diamond kahonga media za nje ya tz 😀 dah cheza sankoro sankoro sankoro aah utaicheza sankoro
 
Tatizo lako unangalia sn TBC hata km kwenu hamna dstv embu jaribu hata kufatilia chati za nje ya tz ujue diamond yupo wapi we umeckia coco

Hahhahaha poor you!! We jipe moyo niko live mrembo wangu from, trace to soundcity, channel o, vox, african beats,. Halafu acha ushamba wa kukariri dstv na wewe hahhahaha ushamba mzigo, tumia satellite dish. Anyway ndo umetoka tandale juzi, bado unajifunza
 
Yaan we akili yko imekaa kutoa rushwa always yaan but whyyyyy :what: kila kitu Diamond kahonga so diamond kahonga media za nje ya tz 😀 dah cheza sankoro sankoro sankoro aah utaicheza sankoro

Hii nayo imeshapiga pua, basi mtadai kashirikishwa haaaaahaaaaaaa jamani dont try too hard, relax, take easy kama mwana darisalama
 
Back
Top Bottom