Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Hahhahaha poor you!! We jipe moyo niko live mrembo wangu from, trace to soundcity, channel o, vox, african beats,. Halafu acha ushamba wa kukariri dstv na wewe hahhahaha ushamba mzigo, tumia satellite dish. Anyway ndo umetoka tandale juzi, bado unajifunza

Sasa km upo live haumuanagi diamond uku kiba ushawahi kumuona chanel 0 we unangaliaga kwny dish gani maana sie kwny dstv yetu haionyeshi Chanel 0 cku izi
 
Hahahahha kwani vipi mzee mimi sio binti kama kende ohhhhh sorry nilimaanisha kendrick

Ha haa kedrick..
But mkuu uwe unajua kutofautisha kati ya facts..na opinion zako..usilazimishe ziwe facts..
 
Sizitaki hizi mbichi...
Ha ha haa unanitaka hivi wewe ni me au ke? ?

Ukiona hivyo ujue kafunikwa ndio maana hata huu uzi unamjadil dai kuliko mwenye uzi mwenyewe

Ha ha promo kama kawa hutaki andamana..
Kitu kizuri hafanyiwi promo na makombo..

Ha haa kedrick..
But mkuu uwe unajua kutofautisha kati ya facts..na opinion zako..usilazimishe ziwe facts..

Naona ushaanza kumwelewa ki ba duuu hongera japo ulikuwa mgumu sana kuelewa
 
Last edited by a moderator:
Naona ushaanza kumwelewa ki ba duuu hongera japo ulikuwa mgumu sana kuelewa

Kiba namuelewa sana..yani namwelewa tangu enzi zileee....za dushelele sema tu hapa katikati amenivuruga..kidogo mwana dsm bt cheketua mmh
 
Hahahaaa ushafungia njiwa?.
Jana hukuwepo huku kabisa. Nasikia biashara ilikudodea...
Tuachane na hayo vipi ile video ya bosi wako unaweza ukanipa ata mstari mmoja domo aliouimba?

Ooh Nana ooh Nana baby Ooh Nana oooh Nana byb basi ujue mie kitandani km... Kwanza moti moti ckia unastuaga kijoti naumia moyo wng ti ti ti unakimbia ukahamia noti noti nahofia ucje niacha km nani nitaumia sn 😀😀
 
Hahahaaa ushafungia njiwa?.
Jana hukuwepo huku kabisa. Nasikia biashara ilikudodea...
Tuachane na hayo vipi ile video ya bosi wako unaweza ukanipa ata mstari mmoja domo aliouimba?

Sankoro sankoro twende sankoro sankoro team kiba cheza sankoro sankoro sankoro ooh sankoro sankoro
 
Sasa km upo live haumuanagi diamond uku kiba ushawahi kumuona chanel 0 we unangaliaga kwny dish gani maana sie kwny dstv yetu haionyeshi Chanel 0 cku izi

Ndo mana nikasema tumia satellite dish, nyimbo ya kiba inapigwa sana tu.
 
Ooh Nana ooh Nana baby Ooh Nana oooh Nana byb basi ujue mie kitandani km... Kwanza moti moti ckia unastuaga kijoti naumia moyo wng ti ti ti unakimbia ukahamia noti noti nahofia ucje niacha km nani nitaumia sn 😀😀

Ooohh nana tehe tehe
 
Mtakuja tu home sweet home, ayaa chekecha cheketuaaaaa.....
 
Wife...
Wife...
Niliota kiba kapata tuzo nne za killi ndio maana nipo hapa asubuhi asubuhi..

Na mtamuota sn na bado, keep on dreaming, boss wenu anamuota daily akiamka tu huyoooo kakurupuka, hapana chezea
 
Back
Top Bottom