Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Mbona anaonekana IG sema ameweka symbol.ya 😷😷😷😷 mswahili sana
 

Attachments

  • 1432345777268.jpg
    1432345777268.jpg
    66.2 KB · Views: 105
Pole sana domo hii ni dalili kuwa uache dharau, watu wakikushauri sikiliza usiwaone wachawi, acha kudharau na kuwadhalilisha.ma x wako, acha kujiona uko too international, wabongo hawapendi mashauzi domo
BADILIKA na acha bifu na wasanii wenzio, hadi dimpozz kakudiss

subiria siku akishuka nchini ndo umpe ushauri... at this tym endelea kupiga majungu na huyo mvaa moka wenu...

yaani tuzo za watu tu mmejaza mavi kwenye chupi.. hivi mngechukua hata moja ya channel O je ?
 
Kuna kamsemo nimekapenda sana kule ista.

Eti " Nyota mwisho kwa waganga wa kienyeji, mjini wote Chekecha Mwana"

Hahahaaaa iyo nzuri......umenifurahisha sana ako kamsemo nilikuwa sijakapata.... .agiza breakfast hotel yyote ya gharama nakuja kulipia tupige story mbili tatu
 
Back
Top Bottom