Shoga yule ni timu mondi kaja na I'd nyingine kutusakizia uzushi kwa vile hstushabikii timu yake. Mpuuzi kweli yule sasa anataka wote tufanane kukomenti. Kanichekesha sana.
Hana lolote afu pale katutaja sisi team kiba tuu visaa....
Kuna mpuuzi ananitafutia ban jamani! Eeh Mungu nisaidie hizi hasira zipoe salama...
Maana ni ananikera hadi basi!
Kuna mpuuzi ananitafutia ban jamani! Eeh Mungu nisaidie hizi hasira zipoe salama...
Maana ni ananikera hadi basi!
King kibaaaaaa......
King kibaaaaaa......
Hebu wapotezee kujibishana nao ndo wanavimba kichwa. Kuna watu waelewa kama Rutta ndo unaweza Ku argue naye hao wengine ujinga unawasumbua tu. Achana nao kabisa hawajui maana ya haya majukwaa.
King kibaaaaaa......
Apa ni kwenye mambo ya red capert naona bibie katokelezeaa na amesema anategemea kiba atachukua na yy pia....
Bado nangoja mfalme afikeeeeee
Tabia yake ya kuwapa mimba na kuwatosa mabinti aache.