nifah na like post yako mahali ambapo uyo mtu yupo... then view like utakapoona like yangu apo apo kuna mwiziii afu uje uwa pm wedhako..Tupo tayariiiiiiiii
Last edited by a moderator:
nifah na like post yako mahali ambapo uyo mtu yupo... then view like utakapoona like yangu apo apo kuna mwiziii afu uje uwa pm wedhako..Tupo tayariiiiiiiii
Tupo tayariiiiiiiii
Nifah kila Uzi jamii forum namuona am feeling babe
Poa dear, ngoja nifanye hivyo sasa hivi.
Wewe kiroboto nikome, usitake mazoea na mimi sina time na mamburula kama wewe.
Nafanya ninavyotaka humu usinipangie cha kufanya.
Utahangaika tu na hao watu.
Hakuna maelezo ya Kiba ambayo hayakuwekwa humu sema watu hawataki kuyaona. Hata hizo tuzo zishaandikwa ....so wasikusumbue anaetaka asome thread yote.
Labda kama unajitolea kujibu kila anaekuja kuuliza!
Nifah kila Uzi jamii forum namuona am feeling babe
Kuzunguka kooooote huku kumbe lengo ndo hili? Teh! Mmeona kule kwengine hamjibiwi eeeh??!
Majanga haya!!!!
Mh ivi unalalaga ww
London thing Diamond Platinum mtasubiri sn
Mkuu usishangae kuletewa show z kiba alizozipiga ifakara.... Kila mtu ana haki ya kushabikia anayemtaka ila yanapokuja masuala ambayo yanahitaji judicial notice kama Diamond kuwa juu zaidi ya wasanii wote Tz ndo hapo tunapokosana na Team kiba
Na jina unaandika?
Asante.
Kuzunguka kooooote huku kumbe lengo ndo hili? Teh! Mmeona kule kwengine hamjibiwi eeeh??!
Majanga haya!!!!
nifah ukishamjua yule ndorobo anayetinga na Id mupya nakungoja pm mama unidakishie.
Sawa tu na yule wa mtaa wa pili anayetongoza tongoza kama ana maruwani afu wakija huku wanaponda tu.
cute b umetisha sana.Hakika ni yeye 100% maana nimefanya na 'karesearch' kidogo kwenye arguments zake ndio hivihivi kama anavyo argue hapa.Ngojeni niwatumieni pm id yake nyingine...