Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Hahahaaaaaa.....heheheiyaaaaaaa wapi mtaalamu wa new ID?? Huhuhuuhuuh....
 
nifah...nimeipata sasa.
Aisee....kujamba kwingiiiii kumbe hakuna kitu.
Jinga tu lile jamaa.
 
Last edited by a moderator:
Wakuu nahitaj kuelekezwa jinsi ya kupiga vote whatsApp kwa King of Kings Tanzania, msaada wakuu nianze kuchekecha
 
Wakuu nahitaj kuelekezwa jinsi ya kupiga vote whatsApp kwa King of Kings Tanzania, msaada wakuu nianze kuchekecha

Wale mlioweza kuvote kwa whatsApp njooni mtoe maelekezo, alafu nasikia namba imebadilishwa maana ile ya mwanzo kulikuwa na tatizo.

Cc: nifah cute b atoto na wengineo
 
Last edited by a moderator:
Wakuu nahitaj kuelekezwa jinsi ya kupiga vote whatsApp kwa King of Kings Tanzania, msaada wakuu nianze kuchekecha

Zile namba za mwanzo haziko active kwa sasa huko WhatsApp unaweza kusubiri hadi uchoke bila majibu.Juzi nilipitia instagram huko nikakuta Kiba kaweka namba mpya nazo chenga tu zikawa haziko WhatsApp. Sijajua kwa sasa hali ikoje labda kesho nitafuatilia hili.
 
Namkubali Ali kiba ni shujaa na ni mwanamuziki hodari namba mbili nchini. Hongera Kiba.
 
Hahahahaa huyo jamaa kwa kujigamba hodari sana.Mara ooh Kiba alimuhonga bia akamzomee domo kwenye ile fiesta na blah blah kibao!

Matola siku hiyo alimshushua kweli!
Majigambo mengi kumbe ndo kajipendekezaji kakubwa.
 
Back
Top Bottom