Umeshasema wenzangu na mimi ni mimi.
Ninyamaze kimya kwa amri ya nani? We vipi??!!!!
Alafu we jamaa sijui IQ yako ipoje...wala hata hujistukii ukaona kuwa watu wamekupuuza....eti unatamba wamenyamaza!
In short wamekuona lofa tu huna la maana....we mambo ya toka sijui lini huko tangu lithread linaanza yalishaongelewa.....mpaka ikafutwa mods wakarudisha tena eti we ndo umekomaa nayo leo, nani sasa ahangaike na wewe?
Huyo alekuelezeeni hapo naye ni mgeni tu ndo maana anakujibuni mnavyotaka nyie!
Usiturudishe nyuma.
We juzi uliongelea international awards za kiba, kuna mtu alikujibu? Ulivyo wa ajabu basi ndo ukapata kamwanya ka kutomboka eti oooh tunaona aibu....bila kujua kama unajichoresha maana watu waliamua kukulia bati makusudikally coz vitu vimo humu humu vilishacommentiwa , hamna kibaraka wa kuwa anarudia rudia suala lilelile....tuulizeni jingine basi.
Kuna watu huwa mnashangaza sana, hivi ukiona watu hawakujibu au kukupea fact kwa kile umeuliza ndo maana yake wameshindwa? Hujui kwamba we unaonekana mjinga hadi umepuuzwa?!
Hii ni fact nimekupa tu kiroho safi na inaapply hata kwenye maisha yetu halisi......huwezi kuwa unaongea tu halafu wenzio wamepiga kimya wala hawakujali wanakutizama ka kitumbua cha juzi unless uwe punguani (ashakumu si matusi)