Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Asante ila me cjaumia mbona ila thanx for caring

Naona umetoka online ukaenda kuingia na ID yako original. Afu huwezi amini nishakujua wew ni nani....na id zako zote zitaunganishwa na utaaibika hatari kwani kumkandia kiba ni adi uingie na new ID?
 
Naona umetoka online ukaenda kuingia na ID yako original. Afu huwezi amini nishakujua wew ni nani....na id zako zote zitaunganishwa na utaaibika hatari kwani kumkandia kiba ni adi uingie na new ID?

Aisee una nifatilia ww but whyyyyy no noti raiti n kiba me cjamkadia kitu just nimesema amfikie diamond
 
Aisee una nifatilia ww but whyyyyy no noti raiti n kiba me cjamkadia kitu just nimesema amfikie diamond

Sasa si ungesema ivyo kwenye ac yako ya siku zote? Nini maana ya kufungua new ID? Nishakwambia zitaunganishwa zote apa uumbuke
 
Sasa si ungesema ivyo kwenye ac yako ya siku zote? Nini maana ya kufungua new ID? Nishakwambia zitaunganishwa zote apa uumbuke

Hata nikiwa na tano Hanna MTU mwny uwezo wa kujua mie n nani
 
Watu wana kazi jamani? Yaani mtu hadi anafungua ID ya kuja huku kwa Kiba?

Ndio mamy yaan kiba amewamalizaaaaaa wanahahaa balaa....sasa kaona akija na ile ID yake kwa mambo anayofanya atadharaulika
 
Watu wana kazi jamani? Yaani mtu hadi anafungua ID ya kuja huku kwa Kiba?

Keshaumbukaa ...kwani leo umemsikia na zile story zake za kijinga? Kashika adabu leo anatembelea Og ID yake...
 
Watu wana kazi jamani? Yaani mtu hadi anafungua ID ya kuja huku kwa Kiba?

Wapo wanaotuogopa, wanaotuonea wivu kwa jinsi tulivyokuwa familia, na wengine wanatufeel kinyama ila ndo hivyo wanaanzaje kuja wazima wazima bila kuonekana wanasaliti kambi?!!

Inabidi wabadili tu chupi mwenzangu maana zile zingine zishaweka alama!
 
Keshaumbukaa ...kwani leo umemsikia na zile story zake za kijinga? Kashika adabu leo anatembelea Og ID yake...

Bora ulimshtukia mapema mana alikua anajitoa ufahamu ka chizi flani hivi kwa kuhangaika na multiple I'd na atulize mshono sasa.
 
Sijawahi kupigwa ban tangu nimejiunga jf, ebu ni PM IDs zake zote nimtaje....sio mbaya kama nikijifungulia dimba la kuinusa jela!

Shost nimeblock pm sasa thijajua kama nitaweza kutuma....hahahaa saivi yupo on line na ile id yake namwonaa
 
Back
Top Bottom