Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Wapo wanaotuogopa, wanaotuonea wivu kwa jinsi tulivyokuwa familia, na wengine wanatufeel kinyama ila ndo hivyo wanaanzaje kuja wazima wazima bila kuonekana wanasaliti kambi?!!

Inabidi wabadili tu chupi mwenzangu maana zile zingine zishaweka alama!
Hahahahaa! Kiukweli tuko vizuri Kiba fans, hata sijui ilikuwaje tukapendana hivi! Sijui ni hivi tulivyo hustle kwenye kumpigania King hadi automatically tunajikuta tunapendana tu.
Kule kwingine chenga tu hadi watu wanajipendekeza huku.Ili wasionekane waasi inabidi wafungue ID mpya kama hivi.
 
Afungue tu mwenyewe nahamu ya kumjua hawa nilisha washtukia mda mrefu ukitokea uki wanakuja na I'd tofauti tofauti na kutukana juu. Yee ka kidume arudi tena kwenye uu Uzi.
Mwenzangu hata mimi nina hamu na huo umbea.
Ila jamani mbona mimi sioni notifications? Tokea mchana nikiingia sehemu kama hivi nakuta mtu kaniquote lakini kwenye notification sioni chochote!
Au kwako hali ikoje diva? Ni kwa kutumia app lakini.Kwenye web ndio naziona hizo notifications.
 
Mwenzangu hata mimi nina hamu na huo umbea.
Ila jamani mbona mimi sioni notifications? Tokea mchana nikiingia sehemu kama hivi nakuta mtu kaniquote lakini kwenye notification sioni chochote!
Au kwako hali ikoje diva? Ni kwa kutumia app lakini.Kwenye web ndio naziona hizo notifications.

Yani nahamu yakumjua huyo aliye kua anasumbua watu humu na ushabiki wake wa maandazi kuliko maelezo. Ndo apate fundisho kusumbua wengine na multiple id's zake.
Mwenzangu mwenyewe notification sizioni pia ingawa unakuta kuna mtu kaniquote na imeanza mchana hyo.
 
Yani nahamu yakumjua huyo aliye kua anasumbua watu humu na ushabiki wake wa maandazi kuliko maelezo. Ndo apate fundisho kusumbua wengine na multiple id's zake.
Mwenzangu mwenyewe notification sizioni pia ingawa unakuta kuna mtu kaniquote na imeanza mchana hyo.

Kumbe ni wote? Basi tusubiri tatizo likizidi tuwape taarifa mods maana hii ni kero sasa.
 
Sitaweza kulala bila kuwatajia huyo mtu jamani....nifanyaje pm imegoma....ila nimegundua mbinu mpya ya kuwatajia uyo mtu bila mtu kujua mpo tayari???
 
London thing Diamond Platinum mtasubiri sn
 

Attachments

  • 1431887043955.jpg
    1431887043955.jpg
    50.6 KB · Views: 89
  • 1431887076548.jpg
    1431887076548.jpg
    49.4 KB · Views: 85
Sitaweza kulala bila kuwatajia huyo mtu jamani....nifanyaje pm imegoma....ila nimegundua mbinu mpya ya kuwatajia uyo mtu bila mtu kujua mpo tayari???

Tupo tayariiiiiiiii
 
Sasa mambo ya domo yanatuhusu nini kutuletea huku si apeleke kwenye Uzi wao ningekua na uwezo ninge delete.

Kule hakuna viewers ndio maana kaja huku, na usikute hata kamchina Kake ringtone kaweka chekecha cheketuwa maana ndio wimbo wa Taifa.
 
Back
Top Bottom