Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,409
- 82,301
Haya hayaaaa jamani yule mfalme wa BET aliyejidai hana shida na tuzo za KTMA karamba mwereka mwaka huu.Wamechaguliwa Sauti Soul tu E.A nzima!
Ndio maana wahenga walisema usitukane mamba kabla haujavuka mto lakini kijana akaona yeye ameshavuka ziwa anaelekea kwenye bahari nini mto? (KTMA).
Na mashabiki wake wakampamba kwa maneno mazito mazito kuwa yeye ameshavuka border hana haja ya hivi vituzo uchwara bali aangalie mbele kwenye BET n.k
Sasa leo sijui watamuambia nini.
Ndio maana wahenga walisema usitukane mamba kabla haujavuka mto lakini kijana akaona yeye ameshavuka ziwa anaelekea kwenye bahari nini mto? (KTMA).
Na mashabiki wake wakampamba kwa maneno mazito mazito kuwa yeye ameshavuka border hana haja ya hivi vituzo uchwara bali aangalie mbele kwenye BET n.k
Sasa leo sijui watamuambia nini.