Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Yaaaaani khaaaaaaah! Namshabikia kwa vingi ujue, teh teh teh

Kijana ana sauti
Ana nyimbo tamu
Ana nidham sio kama fidodido....
Heheheeeeee kiboko ya domo anayetumika kunyamazishia watoto kwa domo lake...maana linatisha mtoto lazma anyamaz tuu
 
Kijana ana sauti
Ana nyimbo tamu
Ana nidham sio kama fidodido....
Heheheeeeee kiboko ya domo anayetumika kunyamazishia watoto kwa domo lake...maana linatisha mtoto lazma anyamaz tuu

Hata zari anataman angekuwa na hiki kitu, hHaha! Dai kapanik baada ya wema kupost alikuwa wap siku zote, sshwain kabisa, jaman pigeni kura sio maneno tu humu
 
Hata zari anataman angekuwa na hiki kitu, hHaha! Dai kapanik baada ya wema kupost alikuwa wap siku zote, sshwain kabisa, jaman pigeni kura sio maneno tu humu

Kura nishazipiga adi nacheua juu juu japo ni kwa sms....
Baba yangu hajui kupiga kura ila anamkubali Kiba ivyo kwa kupitia simu yake nimeweza kumpigia kura the sm thing to mom.....
Sibakizi kitu lazma tuwakimbizeeeeeee hao ma team domo wajue fans wa kiba c mchezoooooooo
 
Kwa wale ambaya whatsup zimegoma tunaweza kutumia sms ambayo ni sh 45 per sms tukapiga kura kwa kiba...
Pia kama una namba tatu unaweza pia ukatumia namba zote kumhakikishia kijana wetu ushindi... fanya hivi
Nunua vocha za mia tano tatu ambayo ni ya tigo airtel. Na voda....
Ingiza vocha kwa kila line.....
Afu anza kupiga kura ukimaliza kweny line hii amia nyingine....
Ukimaliza hapo malizia na TZW11A hivyo hivyo kwa line zote....
Ukimaliza hapo hama nenda kwenye www.tuzozetu.com
Apo sasa piga kura kadri ya uwezo wako cheza na kubadilisha namba za sim na email ata ya kutunga....
Kwa nini tufanye hivyo mara nyingi?
Kwa sababu yetu na wazazi wetu waliobanwa na majukum ila wanamkubali King hivyo tunawasaidia...
 
Vipi ile taarab imeshakufa mnataka achia nyingine hahahhahahaha? Jamaa anaisha kila.siku anarelease na zinaisha mvuto fasta, sisi bado tunacheketua hadi.kieleweke hahahhha hamna kuisha mvuto

Hahahahaaaa taarab imebuma siisikii kokote! Huyu jamaa siku zake zinahesabika tu.
Ndio maana kaanza kupanic.
 
Kwa wale ambaya whatsup zimegoma tunaweza kutumia sms ambayo ni sh 45 per sms tukapiga kura kwa kiba...
Pia kama una namba tatu unaweza pia ukatumia namba zote kumhakikishia kijana wetu ushindi... fanya hivi
Nunua vocha za mia tano tatu ambayo ni ya tigo airtel. Na voda....
Ingiza vocha kwa kila line.....
Afu anza kupiga kura ukimaliza kweny line hii amia nyingine....
Ukimaliza hapo malizia na TZW11A hivyo hivyo kwa line zote....
Ukimaliza hapo hama nenda kwenye www.tuzozetu.com
Apo sasa piga kura kadri ya uwezo wako cheza na kubadilisha namba za sim na email ata ya kutunga....
Kwa nini tufanye hivyo mara nyingi?
Kwa sababu yetu na wazazi wetu waliobanwa na majukum ila wanamkubali King hivyo tunawasaidia...

Asante sana cute b....nimekupenda kidogo umfikie Kiba.
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaaaa taarab imebuma siisikii kokote! Huyu jamaa siku zake zinahesabika tu.
Ndio maana kaanza kupanic.

Ameishiwa tena si kidogo....anatamani aimbe miondoko yote hahahaaaa baada ya muda atataka ajipambanishe na mzee Yusuph....yakimshinda ataimba hiphop asivyo jielewa
 
Kwa wale ambaya whatsup zimegoma tunaweza kutumia sms ambayo ni sh 45 per sms tukapiga kura kwa kiba...
Pia kama una namba tatu unaweza pia ukatumia namba zote kumhakikishia kijana wetu ushindi... fanya hivi
Nunua vocha za mia tano tatu ambayo ni ya tigo airtel. Na voda....
Ingiza vocha kwa kila line.....
Afu anza kupiga kura ukimaliza kweny line hii amia nyingine....
Ukimaliza hapo malizia na TZW11A hivyo hivyo kwa line zote....
Ukimaliza hapo hama nenda kwenye www.tuzozetu.com
Apo sasa piga kura kadri ya uwezo wako cheza na kubadilisha namba za sim na email ata ya kutunga....
Kwa nini tufanye hivyo mara nyingi?
Kwa sababu yetu na wazazi wetu waliobanwa na majukum ila wanamkubali King hivyo tunawasaidia...

Yaani napiga km cna akili nzuri, ila net leo imenzingua cjapiga online
 
Uwiiiiiii! Jamani jamani huyu Kiba huyu! Ngoja ninyamaze tu.
Hapa naenda kulianzisha huko instagram....ayayayayayaaaaa.

Kijana ana mvuto si haba, khaaah kiba bwana we muacheni tu
 
Hahahahaaaa taarab imebuma siisikii kokote! Huyu jamaa siku zake zinahesabika tu.
Ndio maana kaanza kupanic.
11159518_1600577273515261_5830061409063928534_n.jpg
 

He ha ha ha mtu mwenye akili zake timamu hawezi kushangaa maana mambo yaliyomo humo ndiyo yanayowavutia akina matumbo.
Nina uhakika wewe hulali bila kuangalia hii video...

Vipi mbona sijakuona ukisema chochote kutokana na tamko la diamond jana?
 
Last edited by a moderator:
He ha ha ha mtu mwenye akili zake timamu hawezi kushangaa maana mambo yaliyomo humo ndiyo yanayowavutia akina matumbo.
Nina uhakika wewe hulali bila kuangalia hii video...

Vipi mbona sijakuona ukisema chochote kutokana na tamko la diamond jana?

Nimeona watu wengi hawaujui ukweli ila wamakimbilia hitimisho, wengine wamepata sehemu ya kumalizia hasira zao za teams, so sometimes ni bora kuwaacha watu wajionee wenyewe muda ukifika...Ila Diamond yupo sahihi asilimia zote, muziki umekuwa na faulo nyingi za makusudi. Kauli ya Dai inawakilisha kundi kubwa haijatoka kwa bahati mbaya au kukurupuka.
 
Nimeona watu wengi hawaujui ukweli ila wamakimbilia hitimisho, wengine wamepata sehemu ya kumalizia hasira zao za teams, so sometimes ni bora kuwaacha watu wajionee wenyewe muda ukifika...Ila Diamond yupo sahihi asilimia zote, muziki umekuwa na faulo nyingi za makusudi. Kauli ya Dai inawakilisha kundi kubwa haijatoka kwa bahati mbaya au kukurupuka.

Ngoja niyaheshimu mawazo yako,sioni haja ya kubishana.
 
Umejibu vyema, Wht did you expect?

Kiukweli matumbo hua namchukulia kama mtu flani hivi mwenye kuona/kuchukulia jambo kwa undani bila kujali ushabiki ila nimegundua yuko tofauti na nilivyokua nikimdhania.
 
Nimeona watu wengi hawaujui ukweli ila wamakimbilia hitimisho, wengine wamepata sehemu ya kumalizia hasira zao za teams, so sometimes ni bora kuwaacha watu wajionee wenyewe muda ukifika...Ila Diamond yupo sahihi asilimia zote, muziki umekuwa na faulo nyingi za makusudi. Kauli ya Dai inawakilisha kundi kubwa haijatoka kwa bahati mbaya au kukurupuka.

Mbona mwaka jana hakusema? Mbona ule mwaka alioshinda tatu hakusema ? Mbona belle 9 hakupata tuzo hakusema? Jamaa hana jipya kiukweli, kuna mfalme wa pop alikua anaitwa michael jackson tafuta habari zake, lakini leo hatunae na tayari tumemsahau, Dunia malito, mapito, mapito
 
Back
Top Bottom