robinson10
Member
- Apr 27, 2015
- 79
- 22
Mbona mwaka jana hakusema? Mbona ule mwaka alioshinda tatu hakusema ? Mbona belle 9 hakupata tuzo hakusema? Jamaa hana jipya kiukweli, kuna mfalme wa pop alikua anaitwa michael jackson tafuta habari zake, lakini leo hatunae na tayari tumemsahau, Dunia malito, mapito, mapito
Ni kweli ma dia ndo mana hata mtu wao alipoona hali ngumu akapiniki na kuona anashushwa hayo ni maneno ya mkosaji na ya mtu kujiona ana haki kuliko mwingine.Selfishness inawasumbua tu sasa mtu kum appreciate Kiba eti ana uchungu na mkewe really? Huu ni mwanzo tu the best is yet to come for Ali Kibas.Diva Beyonce your words kwenye ile thread ya Ivandon are well noted.
Thanks for the compliment
Sijakujibia kule coz mtaa wa pili naona wanahorojoka tu yaani wao kwao kitakachofanywa kwa kiba kama ni kizuri basi kinalenga kumshusha mtu wao......duh kazi wanayo kwakweli!!
Diva Beyonce your words kwenye ile thread ya Ivandon are well noted.
Thanks for the compliment
Sijakujibia kule coz mtaa wa pili naona wanahorojoka tu yaani wao kwao kitakachofanywa kwa kiba kama ni kizuri basi kinalenga kumshusha mtu wao......duh kazi wanayo kwakweli!!
daimond kajua amesandA kwenye tunzo
kwa muda gani labda hajui ht hao fa na dully ilikuaje ht kujitoaUmeona eeh? Alisema amekaa muda mrefu kwenye game hii michezo anaijuia panapo namna anajuaga mapemaaaaa....
Hana lolote atulie tu.Huu mwaka ni wa King Kiba bwana, asiyetaka asitake tuuu.
kwa muda gani labda hajui ht hao fa na dully ilikuaje ht kujitoa
Ni kweli ma dia ndo mana hata mtu wao alipoona hali ngumu akapiniki na kuona anashushwa hayo ni maneno ya mkosaji na ya mtu kujiona ana haki kuliko mwingine.Selfishness inawasumbua tu sasa mtu kum appreciate Kiba eti ana uchungu na mkewe really? Huu ni mwanzo tu the best is yet to come for Ali Kibas.
Yaani kil afanyacho mtoto wa watu kinawauma, watakiwekea mabango hatari, alafu wao kwa kumtetea sasa hadi kwenye -----!!! Mie nawashangaa wanadai kiba hawasumbui ila wanatumia energy kubwa mnooo kumdiss, duuuuuuuuh!!! Wamuongeleaje mtu asokuhusu km sio anakunyima usingizi!! Bloodyfools.
Miaka mitano eti! FA kajitoa lakini mbona mwana huu kapendekezwa hasemi chochote? Ndio kwaaanza anaomba kura!
Hivi jameni tunavote mara moja tu?
Au ni mimi tu ndo vinanigomea? Kwa wale wa online
Miaka mitano eti! FA kajitoa lakini mbona mwana huu kapendekezwa hasemi chochote? Ndio kwaaanza anaomba kura!
hana lolote anajihami tu na hv kila mtu anamsapoti yy tu
Walaaa hajihami mama, kwani kuna baya analofanyaga yule mtakatifu wa dunia? Umesahau kuwa mabaya ni ya kiba tu?
hodi hodi majiran mpo
Hahahahaaa nimecheka sana aisee
hili nalo neno hili ujue yani anachofanya yy mafuta ht km kina nnyaWalaaa hajihami mama, kwani kuna baya analofanyaga yule mtakatifu wa dunia? Umesahau kuwa mabaya ni ya kiba tu?
hili nalo neno hili ujue yani anachofanya yy mafuta ht km kina nnya