Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Mimi kama kawaida nasema juhudi za ndugu JK nitaanza kuzisemea baada ya miezi 6 ya yeye kuwa ofisini.Nina sababu moja kubwa nayo ni kwamba bado hajaanza kazi rasmi maana anaendelea na ahadi kama vile bado kuna uchaguzi unaokuja mwezi ujao.Hata aliyo yafanya bado ni machache sana hajagusa makubwa kama Mikataba ambayo tayari serikali yake inaanza kupata kashfa kwa kuwa na washikaji wake wengi na leo wanaenda kuangalia mikataba ya madini .Kwa nini JK kama yuko serious na mikataba hiyo asipeleke Tume huru na yenye wataalam hata wa kisheria kujua yaliyo jiri na watu wa Takuru na pia watu wa dini iloi kuhakikisha hakuna kuhongana na kufichiana ubaya ?Hili si swala dogo hata kidogo na hii ni huge test kwa JK .

Hahaaaa ndo manake mana pale chini kamalizia hamna wa kumshusha kwenye kilele cha mafanikio yao nikiangalia hata kipindi cha fiesta alichozomewa team yake wakawa wanadai clouds iliandaa vijana kumzomea kumshusha kwahyo yeye ndo anajiona best na ana staili kuliko wote akiona ushindani anataka kushushwa kwani yeye ni nani? Kanishangaza mno kwa kauli yake hyo mana kila tuzo viulalamishi huwa haviishi. Hajatumia busara kuandika hivo ajiamini tu ana safari ndefu anatukana mamba kabla ya kuvuka mto.
 
Hahaaaa ndo manake mana pale chini kamalizia hamna wa kumshusha kwenye kilele cha mafanikio yao nikiangalia hata kipindi cha fiesta alichozomewa team yake wakawa wanadai clouds iliandaa vijana kumzomea kumshusha kwahyo yeye ndo anajiona best na ana staili kuliko wote akiona ushindani anataka kushushwa kwani yeye ni nani? Kanishangaza mno kwa kauli yake hyo mana kila tuzo viulalamishi huwa haviishi. Hajatumia busara kuandika hivo ajiamini tu ana safari ndefu anatukana mamba kabla ya kuvuka mto.

Hahaaaa! Diva umenikumbusha kuna cku nilimquote nifah alafu vikatojea vitu vya ajabu, hebu angalia hapo ulichoquote
 
Last edited by a moderator:
Hahaaaa! Diva umenikumbusha kuna cku nilimquote nifah alafu vikatojea vitu vya ajabu, hebu angalia hapo ulichoquote

Hahaaaa nashangaa nime Ku quote Ku submit eti inaleta mambo ya Jk imenishangaza loh!
 
Last edited by a moderator:
Weraweraaaaaaaaa
 

Attachments

  • 1431206665149.jpg
    1431206665149.jpg
    56.2 KB · Views: 76
  • 1431206680478.jpg
    1431206680478.jpg
    62.8 KB · Views: 73
Teeeeeeenaaaaaa
 

Attachments

  • 1431207037560.jpg
    1431207037560.jpg
    60.8 KB · Views: 75
  • 1431207053160.jpg
    1431207053160.jpg
    62.7 KB · Views: 77
Handsome boy himself
 

Attachments

  • 1431207307928.jpg
    1431207307928.jpg
    52 KB · Views: 86
  • 1431207321719.jpg
    1431207321719.jpg
    54 KB · Views: 88
  • 1431207334754.jpg
    1431207334754.jpg
    45.5 KB · Views: 88
Back
Top Bottom