Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,369
- 176,203
Hebu ngoja nijaribu hii njia.
Yeah ni cheap tu, dogo alikuwa na kamia5 akajaribu, to his suprise kashangaa kapigia category zote ndio akanistua, acha nipige kwa fujo
Hebu ngoja nijaribu hii njia.
😀😀😀😀😀
Jamani mmesikia diamond alichokisema kuhusu KTMA? Kaona maji yanazidi unga kaanza kujihami.
Na badoooooo....
😀😀😀😀😀
Jamani mmesikia diamond alichokisema kuhusu KTMA? Kaona maji yanazidi unga kaanza kujihami.
Na badoooooo....
Hebu piga kura mama, kitaeleweka tu
😀😀😀😀😀
Jamani mmesikia diamond alichokisema kuhusu KTMA? Kaona maji yanazidi unga kaanza kujihami.
Na badoooooo....
Kasemaje tena huyo domo naye .
Miaka yote aliyokuwa akizizoa hakuona kuna tatizo now ndio anaona? There is something missing somewhr, this dude anajua kucheza na akili za watu aisee!!!
Eti ooh sijui Mo Music hajaonekana kama ni msanii bora Chipuziki, na yale mambo ya Yamoto band kupata nominations mbili na Rich Mavoko kukosa kabisa.
Bila kusahau video ya Ndagushima.
Hahahahaaa huyu hana lolote keshaona mziki wa Kiba hauwezi.
Umeongea kitu cha maana sana! Hivi kweli miaka yote alivyokua anazizoa hakuona kua yeye sio BORA kuliko Belle9? Hata Barnaba tu hamuwezi.
Kisa tuzo hizi kaona Kiba kapata nominations nyingi ndio anajishaua!
Alikuwa wapi siku zote hizo alivokua anachukua tatizo atajibeba mwaka huu . Hzo sababu alizotoa hazi make sense anatafta visingizio tu tumeshamjua janja ya nyani huyu anaogopa tuzo tu huyu nadhani mambo ya fiesta yalimtisha sa ivi ana dis mana yeye bila kiki ya k huwa hajiamini.
Ndio unisaidie kushindwa kushangaa!!! Akwende huko na unafiki wake, alipozizoa zote mwaka jana ina maana hakuona hayo madhaifu???
Eti ooh sijui Mo Music hajaonekana kama ni msanii bora Chipuziki, na yale mambo ya Yamoto band kupata nominations mbili na Rich Mavoko kukosa kabisa.
Bila kusahau video ya Ndagushima.
Hahahahaaa huyu hana lolote keshaona mziki wa Kiba hauwezi.
Anatafta visababu na hajiamini mana naye huwa mpenda kiki za k last year alichukua karibia zote akachekelea mwaka huu ameona kigumu anatafta sababu eti tuzo zinashusha muziki kisa kaona Kiba anapewa promo insta apeleke huko.
Mtavunja ma apple mwaka huu maana nazi zimepanda beiHeheheee acha nicheke mie....yaani huyu Daimond simpendi maana ni mnafiki sana yaani afu kakaa kiswahili swahili sasa asubiri aone
Mtavunja ma apple mwaka huu maana nazi zimepanda bei
Zingufuri flani hivi
Akili zingine bwana!!!
View attachment 250591
Kiba namkubali lakini hajui kucheza na akili za wapenzi wa muziki
Hapa Chibu tayari kwa post hii ameisha iba masikio yetu, na tention zote zita hamia kwake hata kama wimbo mbaya automatic utaupenda tu
Jamaa yangu King bado anambwela mbwela na atoke vipi na video ya cheketua.........real?