Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,410
- 82,319
Jamani nimejaribu kupiga kura kwa kutumia WhatsApp naona iko complicated kidogo ila inaeleweka.
Nimeanza kwa kutuma code wakaniletea maelekezo ambayo nimeyafuata na hadi sasa nimempigia kura Ali Kiba kwenye vipengele viwili.
Ngoja nikaendelee, yeyote atakayeona haelewi kwenye WhatsApp aniulize.
Nimeanza kwa kutuma code wakaniletea maelekezo ambayo nimeyafuata na hadi sasa nimempigia kura Ali Kiba kwenye vipengele viwili.
Ngoja nikaendelee, yeyote atakayeona haelewi kwenye WhatsApp aniulize.