McDonaldJr
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 6,386
- 7,561
View attachment 240824
View attachment 240825
Jana Dar Live biashara ilifanywa kama ivi.
Source:IG page ya Kiba.
I mis u guys, nimebanwa sana na majukumu.
Nawatakia Pasaka njema Mdakuzi Matola atoto geniveros miss strong Viol ( Ms.Lincoln wewe sijakusoma vizuri kama ni Alshaabab au ant Baraka..lol)
Msherehekee kwa amani guys....
Love ya'll.
![]()
![]()
![]()
Mmh! Nyimbo kali hata msumbiji hawamjui
Mhhhhh cc. Nifa
kiba wa kawaida sana huwez mlinganisha hata na 20% au barnaba kwa utunzi.
kuhusu kuvaa kupendeza anajitahid kwa level yake ila hawez fikia level ya jux,diaomond,phd.........pole
Nikushauri kitu? Jaribu kua mkweli usipende kupinga kila kitu.Halafu hiyo sumu ya chuki iliyo moyoni mwako itoe haraka itakuangamiza!
mkuu kiba ni jembe. ONE MAN ARMY
Hahahaaa,huyu ndugu yangu lukelo sakafu naona ananisaidia maana kuna watu hua wananiuliza Kiba ni ndugu yangu?Eti kisa namkubali sana.
Kwi kwi kwi! Uwe unawajibu wewe ndo manager wake!
Unachokosea nn kaka ww upo nyuma na wakati ulitakiwa uandike haya au ulete huu uzi miaka mitano au sita iliyopita tungekuelewa,kiba alikuwa mfano miaka hyo sasa inamlazimu yeye amuige mwenzie kwa kila anachofanya cos yeye hakuwa kiigizo kizr,alipoteza nafasi ya kuigwa longtime,sasa ina mcost inabidi amuige mwenzie tu utake ndio hvyo usitake ndio hvyo,kiba anapita alipopita mwenzie,na hata mwenyewe kiba kimoyo moyo anamkubal dai na anajua wapi alitelezanapenda kuwashauri wasanii wengine igeni mfano wa KING KIBA tungeni nyimbo kali kama za kiba, shoo kali kama za kiba.kupiga pamba kama kiba, kujipenda kama kiba, hili mpendwe kama kiba. hongera sana KING KIBA kaka yao. wataelewa tu