Mdakuzi
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 4,293
- 6,897
OMG!Nimestack ghafla.Siamini ninachokisoma,nimerudia mara kibaoooo!I miss you so much baby.
I love you!
![]()
![]()
Hahahaaa! Miss u too chotara wangu. Love u more.
Ova
OMG!Nimestack ghafla.Siamini ninachokisoma,nimerudia mara kibaoooo!I miss you so much baby.
I love you!
![]()
![]()
Unachokosea nn kaka ww upo nyuma na wakati ulitakiwa uandike haya au ulete huu uzi miaka mitano au sita iliyopita tungekuelewa,kiba alikuwa mfano miaka hyo sasa inamlazimu yeye amuige mwenzie kwa kila anachofanya cos yeye hakuwa kiigizo kizr,alipoteza nafasi ya kuigwa longtime,sasa ina mcost inabidi amuige mwenzie tu utake ndio hvyo usitake ndio hvyo,kiba anapita alipopita mwenzie,na hata mwenyewe kiba kimoyo moyo anamkubal dai na anajua wapi aliteleza
Si ushabiki ila mi sielewagi hizi nyimbo sijui kaimba nani, labda nifah anisaidie
Kitorondo maana yake ni?
Nawatakia Pasaka njema Mdakuzi Matola atoto geniveros miss strong Viol ( Ms.Lincoln wewe sijakusoma vizuri kama ni Alshaabab au ant Baraka..lol)
Msherehekee kwa amani guys....
Love ya'll.
![]()
![]()
![]()
Ngoja na mimi kesho nikanunue line ya airtel maana Tigo wamenichosha sana.Kwa fans wanaotumia airtel, jiungeni na vifurushi hivi vya OMG kwa raha zenu mazuzu wanaowaza mb8 wakapimwe akili.
*148*88#ok
Oh,worry out mumy...Thanx alot luv, am humbled n soryyyy for the late replay, miss youuu
Ngoja na mimi kesho nikanunue line ya airtel maana Tigo wamenichosha sana.
Wakati mwingine mtu anaweza akawa anakukubali sana kwa namna unavyotoa maelezo na ufafanuzi hapa juu ya jambo fulani.
Hivyo, unapokuwa kimya muda mrefu hutumia njia mbalimbali kutaka utoe ufafanuzi wa jambo lolote, ikiwemo kukuponda au kukuchokoza.
Nawaambia kweli, hii ni moja ya thread zenye post zenye akili na ndio maana wengi wa watu wanaoifungua hawaondoki bila kuchangia.
Linganisheni thread hii na ile ya jirani zetu ipi yenye watu wengi walifungua na kuipuuza kwa kutoandika chochote?
Thread yenye maana watu hawaishii kuifungua na kutoandika chochote, hivyo idadi ya walioifungua huwa haiko mbali sana na waliochangia.
Kwa hiyo wala msiwakasirikie wakija hapa na kukejeli, naamini wanataka madini kutoka kwetu ili yawasaidie kwenye maongezi kuhusu muziki huko vijiweni kwao.
Nafurahi kuwa mmoja wa familia ya thread hii.
Ova
Ndio Matola inatoa.Acha tu nina moyo kwelikweli maana ni shida tupu!Tena umenikumbusha ngoja nikanunue.Nikirudi humu niko ndani ya airtel.
Diamond