Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,429
- 108,580
- Thread starter
- #8,461
Shikamoo
Marhabaa mrembo uko poa?
Shikamoo
dah faiza hapana si ndo yule aliyevaa pampers siku ya birthday yske
sijui na mheshimiwa walikutana viwanja ganiKwakweli hata kama tuna uchu!! ila haturi vibudu.
Hayaaaa nifah na Ms.Lincoln mkuje mniambie
aaah wapi kabla ya hapo nilishamfumania MMU anachepuka
Uwiiiiii! Kwahiyo kuchepuka kwenu sio kosa eeh?
Ila bora wewe umechepuka ndotoni...lol atoto akija nitakoma!
Nipo mamito hii dunia tu na majukumu yananipeleka puta, niko busy mpaka najiogopa, miss you bigtime
ndoto haizuiliki,pakuanzia ni hapo kwake,sijui kama huu uchumba wetu utaendelea
unategemea nini shemeji kama nabaniwa
Uwiiiiii! Nisamehe atoto mpenzi. Mimi nimekuita si umeona nilivyokuambia nimekumiss?
Basi Ms.Lincoln ndio akaja kuniponza na umbea wake.
Wallah nakuapia leo nimekukumbuka sana asubuhi.Ujue nini? Nimekumbuka video ya mwana ya King ilivyotoka tukawa tunahadithiana....lol
Yaani nyie watoto kwa umbea siwawezi, nitamwambia king awatungie taarabu(teh teh)