Nilijua tu lazima ntapitwaaaa!!!
Network yenyewe ipo low duh...mkito funguka basi jameni niipate hii nyimbo mweeeeh!!! Youtube ndo kabisaaaaa inaload tu mmmmmh airtel whyyyy????
Mwizi wa beat🏃🏃🏃🏃🏃
Kinachokufanya useme mwizi Wa beat ni nini na sehemu gani ya beat aliyoimbia alikiba imefanana na hyo beat unayosema kaiba ?
Je unamjua producer Wa iyo ngoma ?
Unaweza kuungana na Huyu mchawi mwenzako Mr Kidela ambaye kafulia mpaka anakalishwa na Hemed PHD
Nilijua tu lazima ntapitwaaaa!!!
Network yenyewe ipo low duh...mkito funguka basi jameni niipate hii nyimbo mweeeeh!!! Youtube ndo kabisaaaaa inaload tu mmmmmh airtel whyyyy????
huyu naye anazeeka vibaya, ukijumlisha na unga duuuh!!!
Ha ha ha! Ila lawyer wangu lazima umwimbie mbebez wifi haka kawimbo...
nifah unataka nikugeuze princess? sema nini unataka
Le superlawyer naona mapigo ya moyo yanakuendea kombo hikutarajia jiwe kali namna hii....sidhani kama kampeni yako itazaa matunda unayotarajia...by the way welcome to the royal family
Sema kibaaaa...
Kibààaaaaaa
Kinachokufanya useme mwizi Wa beat ni nini na sehemu gani ya beat aliyoimbia alikiba imefanana na hyo beat unayosema kaiba ?
Je unamjua producer Wa iyo ngoma ?
Unaweza kuungana na Huyu mchawi mwenzako Mr Kidela ambaye kafulia mpaka anakalishwa na Hemed PHD
Teh Teh kawimbo nimeanza kukapenda daa nimeka download mkito....halafu nimegundua ukweli kuhusu beat kwa hiyo ugomvi wangu na Kiba kuhusu beat umekwisha na nimeuzika kabisa na hirizi zangu nimezitupa...Trust me huyu producer ndio anaweza akaleta identity ya mziki wa Tanzania...kuna wimbo kama baikoko..kumbe katengeneza huyu daa hatari!