Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Mwenzangu we acha tu, huku jf kwenyewe nacomment kwa shida. Tigo ndo kabisaaaaa inakata tu........nadhani haya maeneo nilipo mitandao haijarekebishika vizuri na nina siku 3-4 za kuwepo huku mweeeh ninalo!!!
 
Last edited by a moderator:
Mwenzangu we acha tu, huku jf kwenyewe nacomment kwa shida. Tigo ndo kabisaaaaa inakata tu........nadhani haya maeneo nilipo mitandao haijarekebishika vizuri na nina siku 3-4 za kuwepo huku mweeeh ninalo!!!

Dah! Hatari hiyo.Ila kuna jamaa nimeona seheme kakuambia umPM namba zako za simu akutumie whatsApp....teh teh teh
Mimi nausikilizia youtube kwanza nitaudownload baadaye huko sasa hivi mkito wamezidiwa.
 
Mla unga katoa wimbo wiki mbili zilizopita kamshirikisha Naziz mpaka Leo aupo hewani
Plus kuitwa KIDELA
Plus kufunikwa na HEMED PHD
Plus chekecha ya kiba ndani ya lisaa kua wimbo uliopakuliwa sana ijawah kutokea Lazima aponde tu

TID jealous. .ngoma yake aliyotoa na naziz ilitoka pamoja na dogo wa kuitwa billnass ambapo ndani mnyama na naziz..kilichotokea ngoma ya dogo billnass imesogea yake imebuma. ..akiitwa kwenye interview amzungumzie billnass anatupa
 
Mwenzangu we acha tu, huku jf kwenyewe nacomment kwa shida. Tigo ndo kabisaaaaa inakata tu........nadhani haya maeneo nilipo mitandao haijarekebishika vizuri na nina siku 3-4 za kuwepo huku mweeeh ninalo!!!

karibu Airtel..
 
TID jealous. .ngoma yake aliyotoa na naziz ilitoka pamoja na dogo wa kuitwa billnass ambapo ndani mnyama na naziz..kilichotokea ngoma ya dogo billnass imesogea yake imebuma. ..akiitwa kwenye interview amzungumzie billnass anatupa

TID Kabakia jina tu na jina soon litapotea
 
Yaani T.I.D na utaje wake bado nilikua namkubali ila kwa hili ndio imetoka hiyo.

yaani huyu teja kanifanya nimuone hemedi ni zaidi wakati simkubaligi, teh! muacheni jamani chezea kuzeeka na stress na uteja juu!!! hata hajui anachoongea.
 
yaani huyu teja kanifanya nimuone hemedi ni zaidi wakati simkubaligi, teh! muacheni jamani chezea kuzeeka na stress na uteja juu!!! hata hajui anachoongea.

Achana naye huyo chizi.Ila kuna mahali nimesoma kumbe ana 'mahusiano' na Romy Jones...
Mhhh sisemi sana.
 
Back
Top Bottom