Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Huo wa pesa niliusikia last week,halafu nao mzuri but seems ni nyimbo za siku nyingi

yeah ni za muda mrefu sana, ila ukizisikiliza ni kama za leo, bado nausubiri huo wa mapenzi maghorofa, duuuh hapatatosha
 
Yaani hapa nacheka kama chizi!Ahsanteni Viol na atoto maana mnanifurahisha sana
Sasa ngoja nianze kujibu comments zenu.....

Hivi Kama sisi tunakuchekesha je we unatufanyaje?au umesahau upande wako na nani nimesahau na nani ngoja nirudi katikati ya thread 😁😁😁😁
 
Last edited by a moderator:
Yaani hapa nacheka kama chizi!Ahsanteni Viol na atoto maana mnanifurahisha sana
Sasa ngoja nianze kujibu comments zenu.....

na ukifurahi sie ndio furaha yetu pia, one big lovely family
 
Last edited by a moderator:
yeah ni za muda mrefu sana, ila ukizisikiliza ni kama za leo, bado nausubiri huo wa mapenzi maghorofa, duuuh hapatatosha

Huo nimeshapenda jina lake,mpya au wa zamani
 
hahahaaaa!!! time will tell kwakweli maana king alisema atatusuprise na mavituz ya ukweli
Hapa ulikua unarukaruka tu.Ukaniona mimi mjinga sana.

''Hasira hasara dear sikia wahenga walishasema,nami nitakasirika dear kesho nitakunyima,So ndo mchezo gani huo,wa kunikonyeza konyeza mchumba hivo,Najua mi unanirusha ro,....na kama unanipenda hakika mi utanilindaa,....'''

Awwww that's so sweet jamani!Can't imagine atoto alivyofurahi!

waaaooh!! thanx dear nitakulinda daima

Ila hapa akajidai kukausha ili tusijue kama kuna le 'project' linaendelea... eti anakuita Viol dear badala ya.....

thanks mpenzi shahidi nifah anakuona

Eehh bwana eeh hapa mzee mzima Viol akapasua jibu... atoto ujanja wote kwishaaaa....
Teh teh teh ...
All in all I am happy for you guys...
 
Last edited by a moderator:
Hivi Kama sisi tunakuchekesha je we unatufanyaje?au umesahau upande wako na nani nimesahau na nani ngoja nirudi katikati ya thread 😁😁😁😁

kasahau huyu, tena kamficha na kumficha hataaa haonekani kijana wa watu!! nifah mbayaaaaaa
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom