Hivi Kama sisi tunakuchekesha je we unatufanyaje?au umesahau upande wako na nani nimesahau na nani ngoja nirudi katikati ya thread 😁😁😁😁
Hapa ulikua unarukaruka tu.Ukaniona mimi mjinga sana.
Awwww that's so sweet jamani!Can't imagine atoto alivyofurahi!
Ila hapa akajidai kukausha ili tusijue kama kuna le 'project' linaendelea... eti anakuita Viol dear badala ya.....
Eehh bwana eeh hapa mzee mzima Viol akapasua jibu... atoto ujanja wote kwishaaaa....
Teh teh teh ...
All in all I am happy for you guys...
Wanashare simu na password za JF
Nililala kidogo mama....nimerudi sasa nilikua na kijiusingizi lakini niliyoyaona hapa usingizi wote umekata!..lol
na ukifurahi sie ndio furaha yetu pia, one big lovely family
Umeona eeh?family inakua na tumechangamka sasa.
Bado Ms.Lincoln hua anajiona mjanja sana.....
Time will tell..
Teh....
Hela mzuri nimewahi kuusikiliza.
Koh koh....
Mimi bado nina kikohozi lakini kinakaribia kupona sasa.
Sasa hivi ndio nimepata jibu kwanini Viol aliitwa fastafasta aje kuweka vitu hapa!
Teh teh....
Hahahahahaaaa kweli kama ndio hivi basi na nyie mliburudika sana!
Ila naona mimi ndiye niliyecheka zaidi!
Trust me....nimefurahi sana!
Umeona eeh?family inakua na tumechangamka sasa.
Bado Ms.Lincoln hua anajiona mjanja sana.....
Time will tell..
Teh....