Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Hahahahaaaa uwiiiii
Umbea huu utaniua mie.
Asante ngoja nijaribu......

umbea ukishaingia damuni ni balaaa!! hahaaaa utakuwa ulismell bampa to bampa si unajua tena ndicho kinachonukia now sie twasubiri tu kula, teh teh
 
Nakuambia ngoja nifanye fanye mpango nishike japo mistari miwili mitatu na mie.

huku na gombana lumbana piganaa na moyo wangu eee
maana naonaaaa, naona picha hata kama siwezi somaaa
navutia hisia naliaaa, kwani inaniuma sanaaa, na moyo wangu unaumiaa...

utamalizia
 
''Hasira hasara dear sikia wahenga walishasema,nami nitakasirika dear kesho nitakunyima,So ndo mchezo gani huo,wa kunikonyeza konyeza mchumba hivo,Najua mi unanirusha ro,....na kama unanipenda hakika mi utanilindaa,....'''

waaaooh!! thanx dear nitakulinda daima
 
Back
Top Bottom