Abou Saydou
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 2,948
- 2,112
Woooooow usinambie tuzo imeenda kwa Cr7?
Ukiona manyoya
Woooooow usinambie tuzo imeenda kwa Cr7?
Hivi hii tuzo ni mali ya Mesi na Ronaldo tu mpaka watakapostaafu soka? Maana naona wanapokezana wao tu.
I saw you.
Halafu huyo alosema nguchiro nilishamdharau kitambo mpaka na IDs zake zote,
Licha ya kujipitisha koooote kule nimemquote sehemu moja tu.
Unamjua Cr7
usijali mummy tupo pamoja!
Guuuuuud morning lovely family, how are you guys, another day another dow, pop it in.
Kibaaaaaaaaa!
aliyesema kuna vimalaya vyake humu ni mimi au data??? mbona unanilazimishia kesi wewe mwanamke??? i tried kuwa mstaarabu sana, hujui tu how hard i tried not to make it worse, and today dont even buy bundle for me coz hii kitu imeshakuwa kiporo siwezi ipa tena credit, nimeshanza siku mpya siwezi iharibu na mambo ya jana, lakini laiti nimekusoma mapema jana???? ahaaaaa!!! i swear ungenisababishia ban ya maisha.Wewe na kisabengo chako ndiye uliyeharibu uzi. We ushamention watu na nikakujibu shortly tu.
Mtu anaibuka from nowhere anasema kumbe kuna vimalaya vyake humu lakini hajataja jina la mtu, wewe uliyekwisha kuita watu unaenda unashadadia.....eti umeona eeeeh hawatathubutu kuleta pua zao huku.....I was like what the hell is this??? Mnatuchezea akili sio???!!
Mark my words, ukiona mtu kakaa kimya usimchokonoe zaidi, mwache kama alivyo usithubutu kumtambia!!
how are you abou?
safi sana, king ni king tu na utamgundua kwa vingi, wanamtambua sana sema tu wana viburi vya kuzaliwa
soon vitawaisha tu!!!!!!!!!!!!!
aliyesema kuna vimalaya vyake humu ni mimi au data??? mbona unanilazimishia kesi wewe mwanamke??? i tried kuwa mstaarabu sana, hujui tu how hard i tried not to make it worse, and today dont even buy bundle for me coz hii kitu imeshakuwa kiporo siwezi ipa tena credit, nimeshanza siku mpya siwezi iharibu na mambo ya jana, lakini laiti nimekusoma mapema jana???? ahaaaaa!!! i swear ungenisababishia ban ya maisha.
Nyoooo chepi cha kunifanya nikuwekee bundle wewe?? Aigooooo kama unataka itafute mwenyewe coz hata muda wa kukureport mpuuzi kama wewe sina!!!
Upoo....sasa tuliza mshono twende pamoja ikibidi collect silaha zako zote ndo nsharudi like this!
Hivi huyo dogo bado anazingua?
Kuona post yako tu,raha yangu!ulikumbukwa sana...Hivi huyo dogo bado anazingua?